CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.

Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?

N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Waliocheleweshewa mshahara ni walimu tu??? Si nasikia ngoma imeingia jana usiku tena ikiwa na nyongeza
 
Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.

Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?

N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
We mwlimu mjanja kwelikweli!! (In voice of JPM), umeona uanzishe Uzi asubuhi hiii kuulizia kama mshahara umetoka!😃😃😃😃.
Nikushauri teacher wangu,
1. Tumia mshahara huo unaopewa kuwekeza sehumu nyingine hilli itakusaidia kutowazia mshahara sanaa.
2. Hakikisha unapambana Ili kuinuia uchumi wako, iakuepusha na ukopaji uvyo.
.....SAWA teacher....
 
Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.

Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?

N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Kuna fala mmoja jana analilia mshahara kuchelewa ila kutwa nzima anasifia Serikali ya CCM
 
Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.

Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?

N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Asante mwalimu mwenzetu Kwa kutushirikisha ubuyu huu,mtamu kweli
 
We mwlimu mjanja kwelikweli!! (In voice of JPM), umeona uanzishe Uzi asubuhi hiii kuulizia kama mshahara umetoka!😃😃😃😃.
Nikushauri teacher wangu,
1. Tumia mshahara huo unaopewa kuwekeza sehumu nyingine hilli itakusaidia kutowazia mshahara sanaa.
2. Hakikisha unapambana Ili kuinuia uchumi wako, iakuepusha na ukopaji uvyo.
.....SAWA teacher....
Anaji Mpwayungu Village kijanja,siyo mbaya lakini,walimu tufanye Mambo mengine nje ya mshahara jamani
 
Mwalimu ndiye kakufanya wewe ujue kusoma na kuandika - tumia akili hiyo kuwashauri kitu gani wafanye na si kuwananga.

Wewe hutufai
Akili walizompa kashindwa kunitumia vizuri kujikwamua kwenye Lindi la umasikini
 
Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.

Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?

N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Picha pls🤣
 
Back
Top Bottom