Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Kwani haujatoka mpaka muda huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliocheleweshewa mshahara ni walimu tu??? Si nasikia ngoma imeingia jana usiku tena ikiwa na nyongezaKila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Wakina nani?Wazembe hao
We mwlimu mjanja kwelikweli!! (In voice of JPM), umeona uanzishe Uzi asubuhi hiii kuulizia kama mshahara umetoka!😃😃😃😃.Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Si hao ndugu zako wanajeshi wanaomaliza pesa ndani ya week 1 😂Wakina nani?
Kuna fala mmoja jana analilia mshahara kuchelewa ila kutwa nzima anasifia Serikali ya CCMKila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Point yangu pesa inahitaji discpline wapo wanajeshi wamestaafu na vyeo BADO anakaa kwenye appartment wakati kuna mwalimu amejenga nyumba na kapangisha, kwani kwenye jamii zetu si wapo mkuu tunawaona?Si hao ndugu zako wanajeshi wanaomaliza pesa ndani ya week 1 😂
Asante mwalimu mwenzetu Kwa kutushirikisha ubuyu huu,mtamu kweliKila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Mleta mada na watu type ya Mpwayungu Village hawawezi kuliona hiloPoint yangu pesa inahitaji discpline wapo wanajeshi wamestaafu na vyeo BADO anakaa kwenye appartment wakati kuna mwalimu amejenga nyumba na kapangisha, kwani kwenye jamii zetu si wapo mkuu tunawaona?
AahhaaaaaaKuna fala mmoja jana analilia mshahara kuchelewa ila kutwa nzima anasifia Serikali ya CCM
Acha na miye nimwite mwalimu reject aje hapa Mpwayungu VillageMpwayungu Village uko wapi?
Anaji Mpwayungu Village kijanja,siyo mbaya lakini,walimu tufanye Mambo mengine nje ya mshahara jamaniWe mwlimu mjanja kwelikweli!! (In voice of JPM), umeona uanzishe Uzi asubuhi hiii kuulizia kama mshahara umetoka!😃😃😃😃.
Nikushauri teacher wangu,
1. Tumia mshahara huo unaopewa kuwekeza sehumu nyingine hilli itakusaidia kutowazia mshahara sanaa.
2. Hakikisha unapambana Ili kuinuia uchumi wako, iakuepusha na ukopaji uvyo.
.....SAWA teacher....
Wear huwajui walimu! Wezako wanafanana kitabia na wateja wao (wanafunzi/watoto)Kuna fala mmoja jana analilia mshahara kuchelewa ila kutwa nzima anasifia Serikali ya CCM
Akili walizompa kashindwa kunitumia vizuri kujikwamua kwenye Lindi la umasikiniMwalimu ndiye kakufanya wewe ujue kusoma na kuandika - tumia akili hiyo kuwashauri kitu gani wafanye na si kuwananga.
Wewe hutufai
Serikali inayotoa mshahara ni ya CCMAahhaaaaaa
Kuna uhusiano Gani kati ya mshahara na CCM!?
Picha pls🤣Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
AahaaaaaSerikali inayotoa mshahara ni ya CCM