Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Itakuwa ya Mpwayungu Village hiyoPicha pls🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa ya Mpwayungu Village hiyoPicha pls🤣
Akifanyaje!?Kama namuona Mwalimu Msuya!
MadeniNina ndugu zangu kibao wanajeshi wakipokea mishahara baada ya wiki wanaanza kukopa,ukiamua kuendelea kuwa mtumwa wa mshahara ni wewe tu na ndicho serikali zote duniani inataka.
Akielekea kwa Mangi mikono ikiwa nyuma nyumaAkifanyaje!?
AaahaaaaaaaAkielekea kwa Mangi mikono ikiwa nyuma nyuma
Yuko kwenye Duka la Mgosi!Akifanyaje!?
Hizi ni tuhuma zisizokuwa na ushahidi wowote zenye lengo la kuwadhalilisha waalimu!Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwam maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Nawashauri walimu wenzangu wajiongeze nje ya ualimu,mathalani Mimi ukiacha ualimu ninalima,nafuga,nafanya biashara na ni mwanasiasa ndani ya CCMYuko kwenye Duka la Mgosi!
Na akadnganya kuwa eti yeye wa CRBD keshaupta mshahara,ahhaaaa
Na ni yeye mwenyewe,kawataja wenzake Ili kujificha tuHizi ni tuhuma zisizokuwa na ushahidi wowote zenye lengo la kuwadhalilisha waalimu!
Kama kuna mwalimu mmoja amefanya hayo, usijumuishe waalimu wote.
AahaaaaaaaaaaMshahara wote uliishakopwa, ... yaani wanaocheleweshewa HERA ni wadeni wetu tuu!
😅
Mwl Monyo amesumbua sana janaKama namuona Mwalimu Msuya!
Dukani kwa Mangi kaja na story nyingi sanaMwl Monyo amesumbua sana jana
Hera✖ hela✔Mshahara wote uliishakopwa, ... yaani wanaocheleweshewa HERA ni wadeni wetu tuu!
😅
AahhaaaaWalimu wanaonewa sana kwenye threads za JF [emoji3061]