Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #141
Mwalimu huoni shida [emoji23][emoji23][emoji23]Kwani shida iko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu huoni shida [emoji23][emoji23][emoji23]Kwani shida iko wapi
Wengi wao hata kula Yao ni Mara moja Kwa sikuHawa viumbe wanatia aibu sana, unakuta wenyewe ndiyo wamejaza foleni za atm siku wakiambiana salario imetoka. Wakipata salary inaliwa wiki mbili wako bankrupt njaa kali hata kufundisha inakuwa shida. Wa vijijini wamejiongeza wanakata mkaa, wana vimashamba na wake zao wanakaanga vitumbua na maandazi. Wale wa kike wanauza visheti, karanga, kacholi ili kupunguza makali.
Mimi sio mwalimu😂💔Mwalimu huoni shida [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaachaje wengi ilihali wanalala njaaItatoka tu acheni wenge
mshahara wa serikalini unatokaga mwisho tarehe 24sasa kama itazidi leo itakuwa mwezi na siku moja imepitaLeo ni tarehe 24 bado siku 7 mwezi uishe
Na watakuua kweli 😅Sio waniloge, waniuwe tu
Hiyo ipo kwenye sheria, mkataba wako wa ajira au standing order ipi?a
mshahara wa serikalini unatokaga mwisho tarehe 24sasa kama itazidi leo itakuwa mwezi na siku moja imepita
Nilikuwa kilaza, nikaenda kusomea ualimu wa shule ya msingi kama Tate MkuuWwe kwann ulipata DIVISHENI FOO
Mkuu basi uwe na adabu hata kidogo na changamoto wanazopitia walimu. Chochote kile unachojivuna nacho wewe hivi sasa kuhusu suala zima la elimu uliyokuwanayo ni zao la walimu.Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwa maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b . Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania
Haunitoshi ila nalizika nao tu. Kama sina pesa naenda baa nakunywa majiShukuru Mungu mshahara unakutosha!
ila we jamaa huwa unaandika ukweli mtupu kuhusu maisha ya walimu, cha ajabu humu kuna members huwa wanatokwa povu jingi hawataki kukubali ukweli. Endelea kuusasambua ukweli huenda ukawasaidia hawa viumbe wajiongezeWengi wao hata kula Yao ni Mara moja Kwa siku
Wajeda mambo yako poa.Mbona mshahara tayari jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
akili kisodaKila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwa maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania.
jamani waacheni walimu hawana fursa bali wanategemea hiyo mishahara tu.hawana posho hata hivyo vishikwambi kama hawatawekewa bando bado itakuwa ni vigumu kuvitumia.yatakuwa ni mapambo tu ya mkononi.Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwa maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania.
Mnazurula = mnazurura, madaftali = madaftari. Watu wengine ni kama vile mna laana au hamkupata malezi mazuri.Kila Mwalimu anahaha jana kuanzia asubuhi kutoka grosari moja hadi nyingine, duka moja hadi lingine. Mnawaza namna ya kupata pesa tu. Kisa tu mshahara umechelewa. Mbaya zaidi mnazurula na vishikwambi kama madaftali ya watoto wa la kwanza.
Kwa maisha haya mshahara usipotoka kwa wiki mbili itakuwaje?
N.b Naomba niweke sirini jina la mahala nilipo kwa usalalama wangu ila hii ni picha kamili ya walimu wote Tanzania.
Mie niliandika Uzi humu kuhusu Hali mbaya ya walimu,nikashambuliwa na kuonekana mwongo,maisha ya mwalimu ni mabaya sana,mwalimu anazidiwa na muuza mchicha ambaye anauhakika wa kupata hata 2000 daily,Mpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
Inaonesha wazi wewe ilikosa hii ajira. Waalimu hawa hawa au wengine ? Unafika shule ya Msingi kumefurika. Magari ndani ya parking ya Waalimu utafikiri showroom pikipiki hazina idadi .
Hauna uelewa wote kuhusu kipato,mwalimu Hana kipato nje ya mshahara,hao wote wengine Wana allowance kibao na wengine zinazidi mshaharaHebu hiyo media ituambie kwanza mwalimu wa certificate diploma na degree wanalipwaje?
Tuanzie hapo kwanza halafu tufananishe na kada zingine kama vile manunuzi,utumishi,uhasibu,kilimo,mifugo n.k
Vinginevyo wana ajenda yao nyuma ya pazia