CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Mpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.

Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.

1684784029826.jpg
 
Mpwayungu Village unanikumbusha enzi hizo ilikuwa lazima ununue cake za mwalimu kama huna pesa unakopeshwa kilazima kudadeki ili kesho ulipe na ole wako usipolipa deni utajuta kwa fimbo utakazozioga.

Asubuhi ilikuwa must kwenda na sh 200 kila siku ("za masomo ya ziada") ...tulikuwa wanafunzi wengi zaidi ya 200 kwa madarasa mawili tu. Mchana walimu wanawateua mabinti (wanafunzi) wawili wakawapikie misosi ya kibabe. Kilabsiku walikuwa wakigawana pesa na kulikuwa hakuna hata hayo masomo ya ziada
 
Sisi walimu tunafuraha na mishahara yetu ndio maana mwalimu wako wa primary mpaka leo Bado yupoo Tena Yuko fit kweli kweli ... ....

Ualimu ni kazi nzuri sana ,Haina stress ,hauzeeki kabisa ,kiufupi unaenjoy maisha kabisa ......

Kuwa na pesa kitu gani bana ,hapa dunian cha mhimu ni furahaaaaa tu ,just to be happy...hayo mengine ni kujilisha upepo ....

Walimu oyeeeeeeeeeeeeee tuchapee kaziii ndugu zangu walimuuui
 
Sisi walimu tunafuraha na mishahara yetu ndio maana mwalimu wako wa primary mpaka leo Bado yupoo Tena Yuko fit kweli kweli ... ....

Ualimu ni kazi nzuri sana ,Haina stress ,hauzeeki kabisa ,kiufupi unaenjoy maisha kabisa ......

Kuwa na pesa kitu gani bana ,hapa dunian cha mhimu ni furahaaaaa tu ,just to be happy...hayo mengine ni kujilisha upepo ....

Walimu oyeeeeeeeeeeeeee tuchapee kaziii ndugu zangu walimuuui
😀 😀 😀 😀
 
Mshahara wa mwalimu TGTS D1 ni mkubwa kuliko mshahara wa afisa utumishi TGS D1, wote wakiwa na shahada ya kwanza na wakianza kazi kwa pamoja!! Vinginevyo labda mseme mwalimu kutokufanya ufisadi na kutokufanya ubadhirifu na kutokula rushwa kunamdhalilisha utu wake!!
 
Nahisi Mpwayungu village alikuwa kilaza sana shuleni! hiyo ilimpelekea kuwachukia walimu kana kwamba wao ndo walimnyima akili!! Ukilaza hautatoka kwa kuwachukia walimu!! Ukichukia na kudharau walimu lazima uwe na matatizo tu tena si matatizo madogo!! mpwayungu pole!!
 
Mpwayungu Village unanikumbusha enzi hizo ilikuwa lazima ununue cake za mwalimu kama huna pesa unakopeshwa kilazima kudadeki ili kesho ulipe na ole wako usipolipa deni utajuta kwa fimbo utakazozioga.

Asubuhi ilikuwa must kwenda na sh 200 kila siku ("za masomo ya ziada") ...tulikuwa wanafunzi wengi zaidi ya 200 kwa madarasa mawili tu. Mchana walimu wanawateua mabinti (wanafunzi) wawili wakawapikie misosi ya kibabe. Kilabsiku walikuwa wakigawana pesa na kulikuwa hakuna hata hayo masomo ya ziada
Walimu wengi ndomaisha Yao kama sio wengi basi ni wote, wanaishi Kwa kufosi mlo wa mchana na jioni. Maisha ya kiprimitive
 
Back
Top Bottom