Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga tu. Mtu ana TV na Radio kama wao. Mitandao kama wao..Yaani leo Clouds TV wameonyesha chuki ya wazi wazi mara baada ya Diamond Platnumz kupanda jukwaani
Niache Nteseke Hiyo barua imekuja baada ya kukaa mwaka mzima bila ngoma zao kupigwa Wcb wakaa wauliza sababu zipi zilizowafanya kutopiga ngoma zao kwa muda wote huo hii ndio hoja ya msingi sio takataka uliondika.
Hao hata wasipopiga Ngoma zao hazimpunguzii kitu Diamond na WCB kwa ujumlaIle ni radio ya biashara na ina taratibu zake kama walikiuka taratibu ambazo mimi na wewe hatuzijui hakuna haja ya kulia kulia kama mtoto wa kike anayelilia dudu eti kwa nini ngoma zao hazipigwi.
Kila sehemu zina taratibu zake na usifkiri mambo yanajiendea tu hovyo hovyo kila kitu kinaenda kwa taratibu maalum na sio vinginevyo hata kidogo.
Mimi kama baba nna maamuzi ndani ya nyumba nini kifanyike na kipi kisifanyike siwezi kupangiwa na jirani mambo yanayoihusu nyumba yangu.
Ndio mkuu na leo wamekatisha alivyo panda rayvan na hata alivyopanda bwana almasNa leo wamekatisha?
Hao jamaa Ni wapuuzi wasio na akili hata kidogo hawana tofauti na wachawi kutorusha live performance ya Diamond sijui inawapa faida gani?Na leo wamekatisha?
Duh..Ndio mkuu na leo wamekatisha alivyo panda rayvan na hata alivyopanda bwana almas
Clouds hawana tofauti yoyote na wachawiNdio mkuu na leo wamekatisha alivyo panda rayvan na hata alivyopanda bwana almas
Hao hata wasipopiga Ngoma zao hazimpunguzii kitu Diamond na WCB kwa ujumla
Wewe kijana una degree ngapi za ujinga?..Hao jamaa Ni wapuuzi wasio na akili hata kidogo hawana tofauti na wachawi kutorusha live performance ya Diamond sijui inawapa faida gani?
Waseme sababu za kwanini walikuwa hawapigi ngoma za WCB?Wewe kijana una degree ngapi za ujinga?..
Wamepigwa stop kurusha content za WCB unataka warushe wafunguliwe kesi?..
Kusaga mwenyewe amesha-adress hii ishu na mtu waliyekua na ugomvi naye amesha-rest in peace ila WCB bado hawataki content zao zirushwe Clouds
Walipiga wakaambiwa watoe maelekezo, so acha uwongo, huwezi[emoji849][emoji849][emoji849]Mwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa endapo Clouds Media watakiuka maelezo hayo.
Toa umbulula wako hapa zabibu kibaClouds-Joe Kusaga
Wasafi-Mke wa Joe Kusaga
Tulizeni "nyoro" wafuasi wa juma lokole
FactIf indeed true, this is very unprofessional. Joe should know better.
Tatizo sana kama watoto wa mjini wa siku nyingi na washamba wote wanafanya mambo sawa.
Hua sijibishani na mashog@Toa umbulula wako hapa zabibu kiba
Clouds ndo waandike eboooohHiyo andika wewe.
Nani alikwambia, waliambiwa waandike baru kwa kukaa 4years bila kupigwa, sasa unatema mashudu tu.WASAFI NDIO HAWATAKI NYIMBO ZAO ZIPIGWE CLOUDS, HIVYO NI HAKI YAO CLOUDS KUTOKUMUONESHA MONDI