Clouds TV wamekatisha matangazo ya moja kwa moja baada ya Diamond Platnumz kupanda jukwaani

Clouds TV wamekatisha matangazo ya moja kwa moja baada ya Diamond Platnumz kupanda jukwaani

Mambo mengine bhana...kuna Sikh walikua wapo live Xxl ikawa inapigwa ngoma ya Lunya ile freestyle alipotajwa Twangala sura zilionyesha furaha sana dah! Nasubiri kile kipande cha Mwanangu Simba wakanyagie kikaminywa asee nilitukana sana jamaa washamba mno hata ngoma ya Fid ile Fresh alimshirikisha Mond na Rayvanny haipigwi kideo wala Redio
 
Afu hivi vi TV vya Tanzania ni wanafiki wakubwa; vyama vya upinzaji vikiwa na mikutano yao mikuu ya vyama vyao hawasogezi pua; hadi vyama hivi maskini anaamua kurusha online kwa resources zao ndogo; ila kwa CCM wamejazana Dodoma wanapigana vikumbo!!

Kweli kuikomboa nchi hii ni safari ndefu; na yataka moyo maana wanafiki ni wengi.
Ujinga na wajinga ni mtaji mkuu wa ccm, ndio maana hawataki kuboresha mifumo ya elimu ili hawa wajinga waliojaa kila idara wapate ukombozi wa kifikra.
 
mbona matangazo aloshiriki mondi wanapiga? acha kudanganya watu wale wamejaa roho mbaya na hawajiulizi why tangu waache kupga nyimbo zake ndo anapaa zaidi? wcb waliandika barua wakitaka waambiwe kosa la kutocheza nyimbo zao awali na sio hicho ulichoandika.
Jamaa anajiita mchambuzi ,lakini akili zake kama za Popoma musiba.
 
Wanajitahidi kuwa KAA, Diamond akipotea watafurahi sana hao.
 
Hii tambia ya CLOUDS TV kuzima matangazo ya mkutano mkuu kila akitajwa Msanii wa WCB wanakata matangazo wana maana gani wadau hii imekaaje mana kama wameaua kurusha matangazo chochote kitachoendelea wanatakaiwa kutupa kila kina choendelea lkn wageni wamepanda jukwaa akina Alikiba, Billnas na wegne lkn alipopanda Diamond na zuchu walizima matagazo.

Nawasilisha hoja wadau imekaae hii
ILI WAONGELEWE LAZIMA WAFANYE FIGISU FIGISU
 
Mwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.

Hatua kali za kisheria zitachukuliwa endapo Clouds Media watakiuka maelezo hayo.
Ilipigwa nyimbo flani hivi kipindi cha power break fast mbele ya kusaga
 
Back
Top Bottom