Clouds wananufaika vipi na mgogoro wa chama cha walimu? Naona wamekusanya chawa studio, TUCTA iliuawa kwa njia kama hizi

Clouds wananufaika vipi na mgogoro wa chama cha walimu? Naona wamekusanya chawa studio, TUCTA iliuawa kwa njia kama hizi

Mleta uzi umezunguka Sana, jibu wewe ni pro Maganga au anti Maganga?
 
Nashukuru sana,sikatwi tena CWT,CWT wamelaaniwa wao na vizazi vyao vyote kwa kutumia VIBAYA hela za wafanyakazi maskini Walimu. MLAANIWE MILELE.
Duh mwalimu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Mkuu TUCTA ilikufa lini?
Ninavyojua TUCTA ni shirikisho la vyama vyote vya wafanyakazi unasemaje imekufa wakati vyama vipo..
Rais Wa TUCTA bado yupo na anasimamia vyama vyote ikiwemo hiyo CWT,TUGHE ,Na TALGWU
TUCTA ni Marehemu, lini umewasikia?
 
Kuna watu wapo kwenye siasa wanataka kuwaweka ndugu zao waongoze chama cha walimu Tanzania. Kuna watu wapo kwenye mfumo wa CCM wanataka kukimiliki chama cha walimu Tanzania

Kufanikisha malengo yao wamewachukua Makada wa CCM na kuwapeleka studio kutimiza malengo yao.

Tuliona namna Serikali ilivyokuwa ikibanwa na akina Mgaya wa TUCTA miaka ya nyuma ; maslahi ya wafanyakazi yakawa agenda kwenye mei mosi. Baada ya serikali kuona akina Mgaya wana nguvu wakaweka Makada wa chama cha mapinduzi. Since then hakuna anayeweza kupigania maslahi ya watumishi

Leo CWT wamepata watu wenye msimamo, serikali na chama cha mapinduzi wanaona kama uimara wa viongozi hawa utawasumbua hasa kusimamia fedha za walimu zisiliwe na wajanja.....wakawateua kuwa wakuu wa wilaya ili wakawatumbue , wao wakawa wajanja.......juzi wamewasimamisha kazi bado msimamo wao upo palepale

Leo baada ya mbinu hizi chafu kufeli wameibukia kwenye vyombo vya habari kwa kuandaliwa watu wakusukuma agenda. Clouds wapo behind huu mchezo na soon utaona vyombo vyote vya habari vinaimba huu wimbo kama walivyofanya kuiua TUCTa.....waalimu amkeni mji9ngoze achaneni na huu mfumo wa kuchaguliwa nani wawaongoze. Mtaishia kudharaulika
Bullying.
Black Propaganda.
Characters Assassination and Smear Campaign.
Lengo ni kumchafua mhusika ili aonekane kwenye jamii kuwa ni mtu asiyefaa. Hao unaowaona wanaunga mkono suala hili huenda pengine ni mamluki wao au wapigadebe wao wa kusukuma ajenda.
 
Kuna watu wapo kwenye siasa wanataka kuwaweka ndugu zao waongoze chama cha walimu Tanzania. Kuna watu wapo kwenye mfumo wa CCM wanataka kukimiliki chama cha walimu Tanzania

Kufanikisha malengo yao wamewachukua Makada wa CCM na kuwapeleka studio kutimiza malengo yao.

Tuliona namna Serikali ilivyokuwa ikibanwa na akina Mgaya wa TUCTA miaka ya nyuma ; maslahi ya wafanyakazi yakawa agenda kwenye mei mosi. Baada ya serikali kuona akina Mgaya wana nguvu wakaweka Makada wa chama cha mapinduzi. Since then hakuna anayeweza kupigania maslahi ya watumishi

Leo CWT wamepata watu wenye msimamo, serikali na chama cha mapinduzi wanaona kama uimara wa viongozi hawa utawasumbua hasa kusimamia fedha za walimu zisiliwe na wajanja.....wakawateua kuwa wakuu wa wilaya ili wakawatumbue , wao wakawa wajanja.......juzi wamewasimamisha kazi bado msimamo wao upo palepale

Leo baada ya mbinu hizi chafu kufeli wameibukia kwenye vyombo vya habari kwa kuandaliwa watu wakusukuma agenda. Clouds wapo behind huu mchezo na soon utaona vyombo vyote vya habari vinaimba huu wimbo kama walivyofanya kuiua TUCTa.....waalimu amkeni mji9ngoze achaneni na huu mfumo wa kuchaguliwa nani wawaongoze. Mtaishia kudharaulika
Hiki chama kimepoteza ushawishi ,afadhali kipindi kile anakiongoza mkoba kilikuwa imara
 
Kwahyo shida ni Viongozi na Sio Taasisi?
Kikubwa katika TUCTA ni kumuondoa Rais na katibu wake vingine vitakuwa sawa..

Ila kusema TUCTA imekuwa wakati huo TUCTA ndo inasimamia hata hiyo CWT yenu na TUGHE na TALGWU sio sawa
Ndiyo shida ni viongozi kushindwa kusimamia na kuboresha malengo yaliyokusudiwa kuanzishwa kwa vyama au haya mashirikisho. Kwa sehemu kubwa viongozi waliopo wanatumiwa na wanasiasa (muajiri mkuu) kuhujumu jitihada za wafanyakazi kuwasilisha madai yao. Kudai haki kunaitaji kiongozi jasiri.
 
Back
Top Bottom