Haqiqaa mkuu nmekupataRadio yao waache wafanye watakacho kwani kuna radio zaidi 120 na chati yao kila mwaka Diamomd hayupo ,ila haijawahi kumkosesha show Diamond wala kupunguza streams zake kwenye digital platform,wala nomination. Huuu mziki wa bongo kila radio ina wasanii wake na hiko ni chombo binafsi sio TBC.
Naunga hoja mkonoHao ndio clouds hapo Zuchu wamemweka wafanayeje,ila ukweli wanaujua Sukari ndio single iliyo kimbiza katika digital platform zote za Tanzania na Kenya na MTV Base Africa katika nyimbo bora za 2021,Sukari ndio nyimbo pekee kutoka Tanzania ikishika nafasi ya 13.
Huko Kenya msanii analipwa kila nyimbo yake ikipigwa radioni nyimbo ya Zuchu Sukari karibia radio zote inashika nafasi ya kwanza.
View attachment 2064437
Ila Sadala aliwaambia yy kama maji hakwepeki.
Suku hizi zuchy kunbe yuko konde gang siyoLakini wameangalia upande mmoja coz WCB ni record lebel .....lkn pia ni Media
Hebu taja izo ngoma kali unazoamini zitaingia hapoJe ni kwamba Hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu Kuna nyimbo nyingi Kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB
Makasiriko kama haya ya clauds ... yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki . ...na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?View attachment 2064225
Kuna kosa kumupgrade mtu, ni mbinu ya kumkuza mtu hata wasafi wanaitumia na uwa inafanikiwa. Zuchu alivyotoa single moja tu moja kwa moja walianza mpambanisha na nandy na jay d na ikafanya kazi.Kabisa mkuu....kuna juhudi za kimakusudi .....ku Mu Upgrade MARIOO
Je ni kwamba Hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu Kuna nyimbo nyingi Kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB
Makasiriko kama haya ya clauds ... yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki . ...na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?View attachment 2064225
Ila mkuu kusema kweli MARIOO ni msanii mmoja mkali Sana Kuna Kali Sana alizifanyaKuna kosa kumupgrade mtu, ni mbinu ya kumkuza mtu hata wasafi wanaitumia na uwa inafanikiwa. Zuchu alivyotoa single moja tu moja kwa moja walianza mpambanisha na nandy na jay d na ikafanya kazi.
Hivyo kujaribu kumfanya marioo ni mkali sana ni mbinu tu. Inaweza work au ilafail. Ila kindani ndani mwaka huu marioo kafanya poa bia tamu