Club Aficain ni ya Mwisho kwenye Ligi ya Tunisia

Club Aficain ni ya Mwisho kwenye Ligi ya Tunisia

Nimeamini Kolo ni Kolo tu. Timu haijacheza Mechi zake za Ligi itakuaje ya kwanza we kumbikumbi?
 
Mimi naomba mulinde heshima ya Kinyungu wakati anajiunga Jf wengine tupo shule ya msingi ,hivyo sio vizuri kumvunjia heshima yake
Screenshot_20221109_225813.jpg


Naomba muwe na comments za adabu vijana.
 
Hawa ndio mashabiki wa thimba ninaowajua Mimi😅😅

Rage tunakukumbuka baba!!
 
WANAWAKE MSHAVAA KANGA MNAANZA KUTOA SIRI SIMBA BHANA ACHA SISI TULE MIHOGO NA SUPU
 
Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.

View attachment 2411788
Elimu, elimu, elimu.!

HISABATI ni janga kubwa sana kwa watanzania wengi wewe ukiwa mmojawapo.
 
Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.

View attachment 2411788
Mkuu lakini Club Africain hawaja cheza mchezo wowote hapo inaonyesha hiyo
 
Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.

View attachment 2411788
Sisi wao kuwa wa mwisho kwenye ligi yao inatuhusu Nini broo

Makolo sijui mnapata wapi nguvu za kupost ujinga wenu humu wakati Singida wamewakwamisha Jana, Wale nyonyo went wamepigwa

Mbaya zaidi mliowaombea mabaya kwa mawifi zenu uarabuni Wameshinda

Kweli akili zenu haziwezi kukaa sawa
 
Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.

View attachment 2411788

WE ni idiot, na ma-idiot kama wewe samia anao wengi. Umeshindwa kuangalia imecheza mechi ngapi?
Akili yako na ya mbuzi ni ngoma droo
 
Back
Top Bottom