Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukongwe wote huo unakua mbumbumbu kiasi hichi
Acheni manenoMods niwekeeni title vuzuri kabla utopolo hawajaja
Nikikuita Matako wewe, utasema nimekutusi?Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Elimu, elimu, elimu.!Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Mkuu lakini Club Africain hawaja cheza mchezo wowote hapo inaonyesha hiyoNawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Na hajapata Uplatnum mbona [emoji6]Mimi naomba mulinde heshima ya Kinyungu wakati anajiunga Jf wengine tupo shule ya msingi ,hivyo sio vizuri kumvunjia heshima yake View attachment 2411848
Naomba muwe na comments za adabu vijana.
Sisi wao kuwa wa mwisho kwenye ligi yao inatuhusu Nini brooNawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Moderators wanataratibu zao labda kuupata uplatnum.Na hajapata Uplatnum mbona [emoji6]
Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788