KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Mbumbumbuuu ni mbumbumbu tu.Sasa ulitaka wawe wa kwanza na hawajacheza mechi yoyote ya ligi??? We ni taahira???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbumbumbuuu ni mbumbumbu tu.Sasa ulitaka wawe wa kwanza na hawajacheza mechi yoyote ya ligi??? We ni taahira???
Utukumbushe na wana nafasi ya Yanga kwenye LIGI ya NBC TanzaniaNawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Wewe utakuaa taahira sio Bure kacheza mechi ngapiNawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Ukistaajabu YA Tff Na Bodi YA ligi kumbe hujayaona YA Tunisia, Sasa inakuwaje timu ishacheza mpaka mechi 5 wengine hata moja hawajacheza?Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
😂 😂 Jamaa ni mnafiki weweKinyungu halafu wewe ni ID kongwe humu sasa unafundisha nini vijana ? wewe wa kuukimbia uzi wako kweli wakati ni great sinker na nakubali sana nondo zako?
Ni kweli kwa mujibu wa hiyo screenshot uliyoweka Club Africaine inaonekana ni ya mwisho. Lakini kama hawajacheza hata mechi moja ni obvious hawawezi kuwa na point wala goli. Kwahiyo nafasi hiyo waliyopo haiwezi kutumika kupima ubora wao dhidi ya hizo timu zingine hapo. Wangekua wamecheza mechi sawa na hizo timu zingine halafu C/Africaine wakawa wa mwisho hapo hoja yako ingekua na mashiko.Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Alitaka tu kuanzisha thread.Sasa ulitaka wawe wa kwanza na hawajacheza mechi yoyote ya ligi??? We ni taahira???
Puuuumba, pumba pumba!Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Uyo anazo akili za kondoo sio mbuzi, mbuzi angalau uwa anajiongeza lakini kondoo ni kondoo tu ajielewi wala ajitambuiWE ni idiot, na ma-idiot kama wewe samia anao wengi. Umeshindwa kuangalia imecheza mechi ngapi?
Akili yako na ya mbuzi ni ngoma droo
Hukuweza kuona hawajacheza mechi yoyote? siku nyingine uwe serious.Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
View attachment 2411788
Atakua anajua maana yake PERIODKajifunze kwanza mpira wa miguu ndio uje tena hapa. Utajua hiyo P maanake nini
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app