Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Waache watape tape hapaWatarudi vidimbwini kipindi cha pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache watape tape hapaWatarudi vidimbwini kipindi cha pili
Ww umeshashiba mihogo yako? Mimi siachiki kijinga weweeWw mama vipi umeacha kumpikia mumeo cha jioni unahangaika na mipira utaachika!
shauriyako
Nyota njema huonekana asubuhi............acha uogaMechi hapa haijaisha lakini
Kuwa na akiba ya maneno
Bila bahasha uto hamna kituhahaha vilaza si wamekutana na mabingwa
hawa si walishinda 7 leo wamekuwa vilaza
timu gani ikikutana na.yanga tz haiwi kilaza kama hawa waarabu
Pamoja na hayo mtatolewa na hao vilaza.Mmeanza kuwakataa
Lazima wawe vilaza wanacheza na mabingwaWaarabu vilaza lakini bado watawatoa
Nipo mtani, tabiri ni mpaka mizimu iamue🤣🤣🤣Upo mtani za siku mingi? Huonekani kabis ktk tabiri zako siku hizi
Mtabadilisha sana misemo.Mnacheza na vilaza uto hamna kitu
Uoga wa nini wakati hii mechi sina pressure nayoNyota njema huonekana asubuhi............acha uoga
Nikama Singida all stars tuUoga wa nini wakati hii mechi sina pressure nayo
Yanga akishinda sitashangaa
Na Club African akishinda sitashangaa pia
Kwasababu wote ni wabovu
hamna kitu unao waarabu wanahahaBila bahasha uto hamna kitu
Alisikika mlevi mmoja wa Mwananyamala kidileUoga wa nini wakati hii mechi sina pressure nayo
Yanga akishinda sitashangaa
Na Club African akishinda sitashangaa pia
Kwasababu wote ni wabovu
Hawa wananunulika mkuu, usishangaehamna kitu unao waarabu wanahaha
hamna kitu mechi 5 za mwisho nimekupiga 3 umepo kwa draw 2
kwamba mlipewa bahasha ama