Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Leo afe kipa afe beki 🙁🙁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi ndiyo leo wameshika usukani!MAPUMZIKO
45' Shuti kali langoni mwa Yanga lakini Diarra anadaka
40' Kasi ya mchezo imepungua
33' Khalid Aucho anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
27' Yanga wanaonesha utulivu na ndio wanamiliki mpira muda mwingi
25' Yanga wanafanya shambulizi kali lakini kipa wa Club Africain anaudaka
15' Yanga wanaonekana kuwa na utulivu na kupiga pasi kadhaa
10' Wenyeji wanajaribu kuongeza kasi ya mashambulizi
5' Presha ya mchezo ni kubwa, Yanga wanaonekana kuupoozesha mchezo
Mchezo umeanza
Leo ndiyo ile siku tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu huku wengine wakiisubiri kwa hofu kubwa. Mechi itakuwa saa 2 usiku kwa saa za Afrika Mashariki!
Mechi itakayoamua nani anaenda makundi CAFCC. Ikumbukwe kuwa matokeo ya mchezo wa kwanza uliisha kwa sare ya bila kufungana uwanja wa B. Mkapa-Lupaso.
hilo vibe ndo yanga linatupa mzukaHapana, wapo na wanaanza kupandisha vibe
Wamevurugwa tu.......Hizi Sub za Club Africain zinsonekana kuja kubadilisha mchezo
Subiri kipigohamna kitu unao waarabu wanahaha
hamna kitu mechi 5 za mwisho nimekupiga 3 umepo kwa draw 2
kwamba mlipewa bahasha ama
Acha kuwapa sifa zisizowastahili hao wala miogo wa kidimbwiUtopolo wanacheza vizuri sana,nawaona mbali sana msimu ujao! Tukubali tukatae wako na timu bora sana.
Hujui kituSimba kwa ilivyocheza leo ingepewa club African ingekufa
Unaangalia mechi gani? Azizi K unamuona?Yanga inaonekana game plan yao ni kufika matuta na sio makundi
Bahati mbaya mdomo hufungi goliMpigwee tuuu yani badala mfunge mnaleta mbwembwe hapa. Sasa kama waarabu wabovu kwanini hamuwafungi??
Yap kapagawa hadi jezi kageuziaUnaangalia mechi gani? Azizi K unamuona?
nani wa kumpiga yangaSubiri kipigo
Hili ni kweli kona na faulo hatuko vizuri....na hawa jamaa ni warefuYanga wawe makini na faulo wanazozicheza maana set piece zote wanazicheza waarabu tu
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Huwezi kuelewa.....anaingia na goli........Yap kapagawa hadi jezi kageuzia