Masnitch bado tupo hata mkitubwekea na makundi yenu ya losers bado hamtutishiNawakumbusha
Lini Simba alimpiga Mwarabu nyumbani kwake?Hizi mechi ni za Simba Yanga wakubali. Ila leo wamegomaaa
Kila mmoja apambane na hali yakeSasa nani atambeba nani kimataifa .
Google mkuu mi nalalaLini Simba alimpiga Mwarabu nyumbani kwake?
Kitakacho tokea huko mbele sijui nikwambie au nikuache?Masnitch bado tupo hata mkitubwekea na makundi yenu ya losers bado hamtutishi
Tulikosa amani kabisaa, angalau tutapumua sasa
Leo sema watapewa mbususu na kususiwa kabisa maaa sio kwa furaha hiiLeo dada zangu ambao waume zao ni mashabiki wa yanga cha moto watakiona.
Walikua na tamaa sana leoWamevurugwa hata moto wamesahau kuchoma........shenzi hawa