Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

Mnapangiwa lini wa kucheza nao ili tujue kama tunainua tanga kumbe marehemu hakufa alizimia tuu au tuendelee kusubirisubiri labda atadedi kabisa kwenye hatua ya makundi?
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Ngoja niangalie status za watu wangu wa Utopo naona kumejaq njano na kijanii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…