zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
huwa wanaongea kama wamekatika kichwaWachambuzi “Aziz Ki Na Fei Hawawezi Kucheza Pamoja” [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa wanaongea kama wamekatika kichwaWachambuzi “Aziz Ki Na Fei Hawawezi Kucheza Pamoja” [emoji1787][emoji1787]
Anaitwaje marehemu ikiwa huna uhakika kama kakata roho?Mnapangiwa lini wa kucheza nao ili tujue kama tunainua tanga kumbe marehemu hakufa alizimia tuu au tuendelee kusubirisubiri labda atadedi kabisa kwenye hatua ya makundi?
Mpaka muda huu tayari kuna nyuzi wameshazianzisha za kumkataa kocha wao Juma Mgunda! Hawa watu waache tu waitwe mbumbumbu.Yaani walitaka kupozea machungu yao sasa tumewaongezea pilipili na ndimu ili wanywe maji vizuri
Wewe Mpuuziiiiiii uso wako utauweka wapi?!!!!!!FULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison
88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona
80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira
Azizi Ki anaipatia Yanga goli kwa shuti la mbali akimalizia mpira wa kichwa wa Mayele
78' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
72’ Mabadiliko kwa Yanga, Moloko anatoka anaingia Farid Musa
69’ Morrison anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
68’ Mabadiliko kwa Yanga, Azizi Ki anaingia anatoka Aucho
64’ Kipa wa Yanga, Diarra yupo chini akitibiwa, mwamuzi anampa njano akiamini anapoteza muda
62' Azizi Ki anapasha misuli, anaonekana anajiandaa kuingia
60' Mabadiliko ya wachezaji wawili wa Club Africain yanafanyika
55' Utulivu bado ni wa kiwango cha juu kwa Yanga
50' Wenyeji wanaongeza kasi lakini ukuta wa Yanga bado ni mgumu kupitika
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Shuti kali langoni mwa Yanga lakini Diarra anadaka
40' Kasi ya mchezo imepungua
33' Khalid Aucho anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
27' Yanga wanaonesha utulivu na ndio wanamiliki mpira muda mwingi
25' Yanga wanafanya shambulizi kali lakini kipa wa Club Africain anaudaka
15' Yanga wanaonekana kuwa na utulivu na kupiga pasi kadhaa
10' Wenyeji wanajaribu kuongeza kasi ya mashambulizi
5' Presha ya mchezo ni kubwa, Yanga wanaonekana kuupoozesha mchezo
Mchezo umeanza
Leo ndiyo ile siku tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu huku wengine wakiisubiri kwa hofu kubwa. Mechi itakuwa saa 2 usiku kwa saa za Afrika Mashariki!
Mechi itakayoamua nani anaenda makundi CAFCC. Ikumbukwe kuwa matokeo ya mchezo wa kwanza uliisha kwa sare ya bila kufungana uwanja wa B. Mkapa-Lupaso.
Mngeenda kuwasaidia maana maji yalizidi unga.Prediction: CA 3-1 Yanga
TakatakaDaima mihogo nyuma mwiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaitwaje marehemu ikiwa huna uhakika kama kakata roho?
Marehemu wa mchongo.Anaitwaje marehemu ikiwa huna uhakika kama kakata roho?
Ikawaje sasa makolokwinyoNamuona UTOPOLO akipigwa goli 2 za mapema kabisa kipindi cha Kwanza
huwa wanaongea kama wamekatika kichwa
Endelea kuitii hivyohvyoKila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Kawape.Goli 3 kwa Africain zinatosha kabisa
Pole kwa.maumivu.Kila la heri Club Africain. Tuna imani kubwa nanyi.
Sawa sawa ofsaHaijalishi, ushindi ni wa jangwani kesho msionekane vijiweni mtajuta
Mmeukata mdomo au bado upo?Hatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Najua umelala na kihoroKila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Jamani wee unalala wakati sie wananchi tupo mtaani tunapiga keleleleeeeeeNipo nimelala zangu tu hapa
Kwani upo wapi sahizi?Jamani hongereni watani mwiko mmeuvunja.