Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Cheki naye huyuNaamuru Azizi Ki apelekwe jeshi la zimamoto haraka iwezekanavyo akaungane na shujaa majaliwa
Haya ni matukio ya msimu, mechi mbili au tatu zijazo utamkataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheki naye huyuNaamuru Azizi Ki apelekwe jeshi la zimamoto haraka iwezekanavyo akaungane na shujaa majaliwa
Kwani huyu na De Agosto ukiachana na rangi unafikiri wanatofauti gani?Mlikutana na mpinzani wa kawaida sana na leo wametolewa haomnaosema mliwapiga 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Makolokolo nilimjibu kwenye post no. 98 kuwa "Usilitaje jina la BWANA Mungu wako bure" sijui sasa hivi anajionaje alivyo MBUMBUMBU....[emoji2960]Kila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Acha mikwaraHuyu Makolokolo nilimjibu kwenye post no. 98 kuwa "Usilitaje jina la BWANA Mungu wako bure" sijui sasa hivi anajionaje alivyo MBUMBUMBU....[emoji2960]
Hilo tuliliongea sisi dakika ya mwanzoni kabisa na haikuwa mara ya kwanza kwa Yanga kufanya hivyoTukiacha ushabiki, Yanga wamecheza game vizuri sana, waliwazidi wale waarabu kila kitu.
Wamestahili kufuzu Makundi hakika.
Ha ha ha ha tupo jana, leo,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe warembo wa yanga mpo wengi humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi mlishazika au mlizikwa nyinyi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Etieeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila la heri Club Africain. Tuna imani kubwa nanyi.
Unaendeleaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Press release ya tumefikia makubaliano ya pande zote mbili inaendelea kuchapwa
Tulishamkataa Aziz Ki toka mechi dhidi ya Makolokolo alituangusha sana hadi Yanga tulikosa point 3....[emoji2960]Cheki naye huyu
Haya ni matukio ya msimu, mechi mbili au tatu zijazo utamkataa
Unajisikiaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usiku wa deni haukawii
Pole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Wala hatuhitaji mapenzi yako, hata hizo pongezi zako peleka Azam, Chamazi huko.Siwapendi Yanga. Lakini nawapa pongenzi.
Wamecheza vizuri sana.
Na wamestahili ishindi.
Yanga oyeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na muda umeshasema tayari.Makolo hii Yanga inawaumiza sana vichwa. Yote hii ni propaganda mkiamini kaka yenu hatoboi Tunisia.
Muda utasema
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi hali yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namuona UTOPOLO akipigwa goli 2 za mapema kabisa kipindi cha Kwanza
Yameshakimbia tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunajua leo mtasema yoote huku mkiombea dua zenu zitimie ila Wananchi hatujali wala nini.
Kila la kheri Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Hivi unajickiaje muda huu au tukupigie matarumbeta nini kitaani kwako?aibu zako weeee.Prediction: CA 3-1 Yanga
Unaendeleaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Moderator Hebu Tuongezee hapo kwenye heading..Uwanja wa Hammedi Agrebi Olympic Rades.
Ili vizazi vijavyo vijue kuwa Gongowazi kumbe waliuliwa kinyama kwenye Uwanja wa Hammedi Agrebi Olympic-Rades.
Na yamejificha sahizi yanachungulia tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo Mikia mtaona sana aibu