Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

Kila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Huyu Makolokolo nilimjibu kwenye post no. 98 kuwa "Usilitaje jina la BWANA Mungu wako bure" sijui sasa hivi anajionaje alivyo MBUMBUMBU....[emoji2960]
 
Huyu Makolokolo nilimjibu kwenye post no. 98 kuwa "Usilitaje jina la BWANA Mungu wako bure" sijui sasa hivi anajionaje alivyo MBUMBUMBU....[emoji2960]
Acha mikwara

Humu wote tunajua kwenye mpira mazari yapo

Na ndio maana hata mechi zilizoisha vibaya tuliwasikia viongozi wakisema "bahati haikuwa upande wetu"
 
Tukiacha ushabiki, Yanga wamecheza game vizuri sana, waliwazidi wale waarabu kila kitu.
Wamestahili kufuzu Makundi hakika.
Hilo tuliliongea sisi dakika ya mwanzoni kabisa na haikuwa mara ya kwanza kwa Yanga kufanya hivyo

Tushawaona wakiwa na Al Hilal, home and away kote wali dominate mpira ila ishu ilikuwa ni ku convert nafasi kuwa goli
 
Kila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Pole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Namuona UTOPOLO akipigwa goli 2 za mapema kabisa kipindi cha Kwanza
Vipi hali yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tunajua leo mtasema yoote huku mkiombea dua zenu zitimie ila Wananchi hatujali wala nini.

Kila la kheri Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Yameshakimbia tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Moderator Hebu Tuongezee hapo kwenye heading..Uwanja wa Hammedi Agrebi Olympic Rades.

Ili vizazi vijavyo vijue kuwa Gongowazi kumbe waliuliwa kinyama kwenye Uwanja wa Hammedi Agrebi Olympic-Rades.
Unaendeleaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom