The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Bado hujafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Prediction: CA 3-1 Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Prediction: CA 3-1 Yanga
Sasa timu imeingia makundi....kesho tukutane pale uwanja wa ndege na mihogo yetu kupokea mashujaa wetu. Kupindia zulia ilikuwa sio kazi ndogoHa ha ha ha tupo jana, leo,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MmeumbukaHatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Kitambo tu, possession 90% kwa 10% [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mechi ya Yanga mikia mna haha!
Mwarabu leo anakalishwa
Ni mchezaji wa kawaida sana na mwepesi kufanya makosa, game ya hapa kwa Mkapa alipokonywa mipira mingiTulishamkataa Aziz Ki toka mechi dhidi ya Makolokolo alituangusha sana hadi Yanga tulikosa point 3....[emoji2960]
Matukio mhimu kama hili hapa[emoji116]Cheki naye huyu
Haya ni matukio ya msimu, mechi mbili au tatu zijazo utamkataa
Umeongea kiungwana sn.Hilo tuliliongea sisi dakika ya mwanzoni kabisa na haikuwa mara ya kwanza kwa Yanga kufanya hivyo
Tushawaona wakiwa na Al Hilal, home and away kote wali dominate mpira ila ishu ilikuwa ni ku convert nafasi kuwa goli
Kasha wapiga mara tatu bado hutaki kukubali mbona una ubishi wa Kiha?Ni mchezaji wa kawaida sana na mwepesi kufanya makosa, game ya hapa kwa Mkapa alipokonywa mipira mingi
Game yenye pressure kubwa nikiwa na maana game ambayo wapinzani wanafika sana golini kwenu na kufanya mashambulizi ni ngumu sana kuona mchango wa Aziz Ki
Na ndio maana approach aliyoingia nayo mwalimu alijua kabisa kuwa leo Club Africain watakamia na kufanya mashambulizi mengi
Thats why hakumuanzisha first half
Maisha haya ya mpira tumetofautiana sanaMatukio mhimu kama hili hapa[emoji116]View attachment 2411854
Ki wa kawaida?????Ni mchezaji wa kawaida sana na mwepesi kufanya makosa, game ya hapa kwa Mkapa alipokonywa mipira mingi
Game yenye pressure kubwa nikiwa na maana game ambayo wapinzani wanafika sana golini kwenu na kufanya mashambulizi ni ngumu sana kuona mchango wa Aziz Ki
Na ndio maana approach aliyoingia nayo mwalimu alijua kabisa kuwa leo Club Africain watakamia na kufanya mashambulizi mengi
Thats why hakumuanzisha first half
Soap alikupigeni Hattrick lakini haiwezi kuwa big story kuwa ni mchezaji bora wakumuundia tumeKasha wapiga mara tatu bado hutaki kukubali mbona una ubishi wa Kiha?
Hii unai appreciate kwasababu inaku favor (ndio kitu ambacho mko tayari kukisikia kwa sasa)Umeongea kiungwana sn.
Hakuna mchezaji wa kiwango cha Ki NBC.Tena saaana
With no excuse
Mpira ni mchezo wa hadharani.Hii unai appreciate kwasababu inaku favor (ndio kitu ambacho mko tayari kukisikia kwa sasa)
Ila ingekuwa negative hata kama ni ukweli usingekubali pengine labda ungeniita hater
Kwa fact moja tuHakuna mchezaji wa kiwango cha Ki NBC.
Hayupo huyo aliyebora kuliko yeye, jamaa ni fundi haswa, sema tu mpira wetu hapa bongo umekuwa, lkn hakustahili kucheza bongo.Kwa fact moja tu
Kwasababu position anayocheza kuna waliobora kuliko yeye
Na ndio maana nakupa fact ya kimpira na sio matokeo ya mwishoMpira ni mchezo wa hadharani.