Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kiroho kilikua juu juu umesubiri matokeo ndio unaibukaHahahaaaa. Niambie Mtani una lolote? Teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiroho kilikua juu juu umesubiri matokeo ndio unaibukaHahahaaaa. Niambie Mtani una lolote? Teh teh
Sawa mla hogoMpaka muda huu tayari kuna nyuzi wameshazianzisha za kumkataa kocha wao Juma Mgunda! Hawa watu waache tu waitwe mbumbumbu.
Hahahaaa. Walaa huwa nina mida yangu ya kuperuzi Mitandaoni Mtani ikishafika inakuwa basi kutokea ni mpaka hii asubuhi tena.Kiroho kilikua juu juu umesubiri matokeo ndio unaibuka
Vizuri, hongereni japo kipa kawachomesha wenzieHahahaaa. Walaa huwa nina mida yangu ya kuperuzi Mitandaoni Mtani ikishafika inakuwa basi kutokea ni mpaka hii asubuhi tena.
Pole Veterani. Hahahaaaa!Mama yangu hakulaliki kesho daaah
Halafu unajuaga sana kuota yaani Mtani.
Wakiongozwa na mwenye uzi wake. 🤣 🤣🤣🤣Yameshakimbia tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa. Nilikwambia kuna mida hutajibu quotes zangu Mtani. 😀😀Hatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Ahsante! Kiaje Mtani?Vizuri, hongereni japo kipa kawachomesha wenzie
Embu waacheeAhsante! Kiaje Mtani?
Kajishuti kama kile anakikosajeAhsante! Kiaje Mtani?
Jana game ilimkubali sana yaani.Bamia, anateleza tu kama kapakwa mafuta mwili mzima
Eti kaji shuuuti. LolKajishuti kama kile anakikosaje
Kwani gemu hiyo haikuwa na pressure? Na unajuaje hii gem ina pressure na hii haina?Furaha ya matokeo ndio inakufanya uandike hivi
Leo hata angecheza Tuisila bado alikuwa yupo kwenye nafasi ndogo ya kukosea
Game yenye pressure utakuja kuniambia
🤣🤣embu waachee
Aliyeita hivyo ni nani?Sasa ndio muache kuliita kombe la LOOSER.....sio mnashangilia Simba akitoboa mnaliita kombe la LOOSER.......
Btw.
Huko ndio kunakowafaa Kwa watoto wenzenu......