Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mi mbona simlaumu kocha? Kwanza sina tabia ya kumlaumu mtu kwenye timu waka benchi la ufundi. Ntapitia mtani uweke na pilipili nyingiii iniwashe vizuriHa ha ha kesho pitia mihogo hapa ila kocha wenu si mbaya nyie tu mnashindwa zenu.[emoji3][emoji3]