SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Unawafananisha na wanyasa?Why are you skipping this post?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawafananisha na wanyasa?Why are you skipping this post?
Kafie mbeleNa ndio maana nakupa fact ya kimpira na sio matokeo ya mwisho
Hata kiwango alichokionesha kwenye Derby kilikuwa very poor ila kwasababu alifunga watu wengi wana kawaida ya kujadili matokeo ya mwisho
Ila laiti kama lile goli lingefungwa na mchezaji mwingine basi asingeweza kuepuka lawama
Wapo mashabiki wa Yanga wenzako ambao wanalielewa hili na hata leo wakiambiwa wapange kikosi chao basi Azizi Ki ataanzia bench
Furaha ya matokeo ndio inakufanya uandike hiviHayupo huyo aliyebora kuliko yeye, jamaa ni fundi haswa, sema tu mpira wetu hapa bongo umekuwa, lkn hakustahili kucheza bongo.
Wanyasa sio wazuri walikuwa wabovu kiasi yani wale Zalan waongezeke kidogoUnawafananisha na wanyasa?
Ona hizi akili?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2411859
Kwahyo game ya Africain na Simba hazikuwa na pressure? Mbona kaamua matokeo?Furaha ya matokeo ndio inakufanya uandike hivi
Leo hata angecheza Tuisila bado alikuwa yupo kwenye nafasi ndogo ya kukosea
Game yenye pressure utakuja kuniambia
Club Africain walikuwa na hatari gani kwenye lango lenu ikiwa kama mpira ulikuwa nadra kuvuka mstari wa kati?Kwahyo game ya Africain na Simba hazikuwa na pressure? Mbona kaamua matokeo?
Una sababu zipi za kumuona Ki ni mchezaji wa kawaida? Keshacheza na wewe zaidi ya mara mbili na ka prove ubora wake, unaweza kunipa sababu japo moja? Ila ni kawaida wachezaji bora kusimangwa na wapinzani, ningeomba ulale tu mzee mana huna hoja.Furaha ya matokeo ndio inakufanya uandike hivi
Leo hata angecheza Tuisila bado alikuwa yupo kwenye nafasi ndogo ya kukosea
Game yenye pressure utakuja kuniambia
Chama siku ile aifanya nini zaidi ya pasi ya Goli.???Club Africain walikuwa na hatari gani kwenye lango lenu ikiwa kama mpira ulikuwa nadra kuvuka mstari wa kati?
Game ya Simba ilikuwa na pressure, uliona performance yake?
Lile goli assume angefunga feisal, ungeweza kumjadili Azizi Ki kwa fact gani kuonesha ile game alicheza katika kiwango bora?
We w Ni stevano Aziz k mollel kweli wa wapi bhna ndgu yanguUnawafananisha na wanyasa?
Kwani mchezaji kuanzia bench ndio mbovu,sisi huwa tunajadili matokeo hata akicheza mpira mbaya vipi lakini akikupa matokeo ya point tatu basi lazima apewe heshima kubwa,ni sawa na Timu kwa ujumla hata ikiongoza ball possession kwa 82% na timu pinzani ikiwa na 18% na ikatokea timu yenye ball possession ndogo kuchukua point 3 basi lazima sifa za heshima zote tumpe timu yenye ball possession ndogo.Na ndio maana nakupa fact ya kimpira na sio matokeo ya mwisho
Hata kiwango alichokionesha kwenye Derby kilikuwa very poor ila kwasababu alifunga watu wengi wana kawaida ya kujadili matokeo ya mwisho
Ila laiti kama lile goli lingefungwa na mchezaji mwingine basi asingeweza kuepuka lawama
Wapo mashabiki wa Yanga wenzako ambao wanalielewa hili na hata leo wakiambiwa wapange kikosi chao basi Azizi Ki ataanzia bench
Huyu Club Africain wewe tu anakutoa kamasiKwani huyu na De Agosto ukiachana na rangi unafikiri wanatofauti gani?
Sawa performance anayo Kibu DSoap alikupigeni Hattrick lakini haiwezi kuwa big story kuwa ni mchezaji bora wakumuundia tume
Azizi Ki ni mchezaji wakawaida sana na hili nalisema leo ikiwa kafunga goli, kwasababu performance na kufunga goli ni vitu viwili tofauti
Utofauti wa nyie na mimi ni kwamba nyie mnahesabu goli kama performance
Nikupe Hongera! Jana nilifurahi si kishabiki bali kutokana na maneno ya humu! Watu wa humu ni wapuuzi kwani team yoyote ya mpira haijengwi kwa siku moja. Angalia hata timu za Ulaya. Mchezaji hata awe mzuri kiasi gani kwa timu A akienda timu B lazima apewe muda wa kujifunza kucheza na wenzake. Hata Tanzania hasa wanoko wa JF hilo hawajui.Wameumbuka vibaya sana.
Makolo huwa hawana akiliMakundi ya kombe la loser kama asemavyo aliekuwa semaji lenu
Hahahaha mbumbumbu mpo kama ngumi ya ndoigeVyovyote vile
HILI BADO NI KOMBE LA LOOSERS
Prediction: CA 3-1 Yanga
Fresh tuUnajisikiaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]