Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

Kuna Timu imepigwa ngumi tatu Jana kwa mpigo.

1. Ngumi Singida
2. Ngumi Simba Queen
3. Ngumi Tunisia (Hii ndio imemkimbiza, kizunguzungu) [emoji78][emoji78][emoji78]

Yani hii ndio ngumi ya NDOIGE kila alipoenda imemfuata tu.[emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095]
 
Kinachosikitisha mara ya mwisho Simba Kushinda Majaliwa alikuwa bado Mvuvi.
🤣🤣🤣🤣

FB_IMG_1668060407443.jpg
 
Kuna Timu imepigwa ngumi tatu Jana kwa mpigo.

1. Ngumi Singida
2. Ngumi Simba Queen
3. Ngumi Tunisia (Hii ndio imemkimbiza, kizunguzungu) [emoji78][emoji78][emoji78]

Yani hii ndio ngumi ya NDOIGE kila alipoenda imemfuata tu.[emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095][emoji2095]
Akili zako hazina akili
 
Define performance ili tuelewe una maanisha nini
Furahia ushindi mambo ya performance achana nayo

Kama unaona nilichokiandika haki make sense basi sio mbaya ukakipuuza

Nafahamu utaratibu wa mashabiki wa hapa bongo ulivyo, timu ikifungwa ni rahisi sana kuwasikia wakisema "Kocha hatufai", "mchezaji fulani hana kiwango"

Hakuna mshabiki ambaye timu yake imefungwa halafu akatoa pongezi kwa mpinzani.
 
Furahia ushindi mambo ya performance achana nayo

Kama unaona nilichokiandika haki make sense basi sio mbaya ukakipuuza

Nafahamu utaratibu wa mashabiki wa hapa bongo ulivyo, timu ikifungwa ni rahisi sana kuwasikia wakisema "Kocha hatufai", "mchezaji fulani hana kiwango"

Hakuna mshabiki ambaye timu yake imefungwa halafu akatoa pongezi kwa mpinzani.
Nmekuuliza nipe definition ya performance kwa mchezaji mbona maneno mengi
 
Jana singida kawainamisha , mkainama akashindilia hogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkakukuruka kulichomoa wee likachoka na mavi just[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee
Mavi yamemwagika mpaka uarabuni dadeq
 
Simba ilifungwa na Zamalek wakaenda kwenye penalties Kaseja akaibeba timu, Simba walivyorudi Dar mji ulisimama hayo mapokezi yake na hapo ilikuwa wanaingia round ya Pili na wala siyo makundi.

Yanga imemaliza mechi ndani ya dakika 90 kwa kushinda, kuna tofauti kubwa tu hapo, Yanga haijafungwa hata goli moja na hao Africain.

Ngoja tuandae mapokezi ya mashujaa wetu ili muumie vizuri.
Niumie nini sasa maana kwangu grupu stage ni mazoea wewe kwako ilikua ndoto uliyoota kwa muda mrefu
 
Back
Top Bottom