financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Aah niwakilisheni tu, sijiskii vizuri😪 hivi kumbe wewe ni mwananchi pia?Jamani wee unalala wakati sie wananchi tupo mtaani tunapiga keleleleeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah niwakilisheni tu, sijiskii vizuri😪 hivi kumbe wewe ni mwananchi pia?Jamani wee unalala wakati sie wananchi tupo mtaani tunapiga keleleleeeeee
Mie sio mwananchi wala sio mkia...nashangilia yoyote akishinda maana napata chance ya kuruka na warembo🤣🤣🤣🤣Aah niwakilisheni tu, sijiskii vizuri😪 hivi kumbe wewe ni mwananchi pia?
Leo Kwa mara ya kwanza nimewakubali Hawa Wala mihogo.. wamecheza ki bingwa sanaYanga wanajua
Mliaibika vibaya lakiniKule South Africa kulikuwa na baridi sans na kama unavyojua makao makuu ya Club ni dar na Dar nadhani unalijua joto lake
Sasa wakaona wakoke moto waotee kidogo ili kupata joto
Hawakua na nia mbaya
Haaa 😂😂 umenishinda mkuu.Mie sio mwananchi wala sio mkia...nashangilia yoyote akishinda maana napata chance ya kuruka na warembo🤣🤣🤣🤣
Pole mrembo...nini mbaya?
Pole sana...nimekumiss sana we mtuHaaa 😂😂 umenishinda mkuu.
Kijihoma kidogo, ila si mbaya sana, thank you
Ha ha ha kuna mtu hapa mara utopolo, hapa tangu asubuhi YANGA haimtoki mdomoni sasa nimemjaza maji mdomoni [emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka muda huu tayari kuna nyuzi wameshazianzisha za kumkataa kocha wao Juma Mgunda! Hawa watu waache tu waitwe mbumbumbu.
Ha ha ha kesho pitia mihogo hapa ila kocha wenu si mbaya nyie tu mnashindwa zenu.[emoji3][emoji3]Marehemu wa mchongo.
Ahsante mkuu, you're missed too!Pole sana...nimekumiss sana we mtu
Hongera dada kwa kumsifia vizuri Mumeo wa kiarabuKila la heri Club Africain. Tuna imani kubwa nanyi.
Nafurahi kusikiaAhsante mkuu, you're missed too!
Why are you skipping this post?Yanga wakishinda na kuwatoa waarabu sitashangaa
Club Africain nao wakishinda na kufanikiwa kuwatoa Yanga napo sitashangaa
Kwanini?
Kwasababu zote ni timu mbovu
Credit Miraji kutoka Shafii Dauda online TV
Mlikutana na mpinzani wa kawaida sana na leo wametolewa haomnaosema mliwapiga 3Simba ilishinda 3-1 ugenini na nchi ilitulia
Aibu yako hiyooHatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Wachambuzi uchwara hao. Wanachambua kwa kusimuliwaWachambuzi “Aziz Ki Na Fei Hawawezi Kucheza Pamoja” [emoji1787][emoji1787]
KabumbuFULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison
88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona
80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira
Azizi Ki anaipatia Yanga goli kwa shuti la mbali akimalizia mpira wa kichwa wa Mayele
78' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
72’ Mabadiliko kwa Yanga, Moloko anatoka anaingia Farid Musa
69’ Morrison anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
68’ Mabadiliko kwa Yanga, Azizi Ki anaingia anatoka Aucho
64’ Kipa wa Yanga, Diarra yupo chini akitibiwa, mwamuzi anampa njano akiamini anapoteza muda
62' Azizi Ki anapasha misuli, anaonekana anajiandaa kuingia
60' Mabadiliko ya wachezaji wawili wa Club Africain yanafanyika
55' Utulivu bado ni wa kiwango cha juu kwa Yanga
50' Wenyeji wanaongeza kasi lakini ukuta wa Yanga bado ni mgumu kupitika
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Shuti kali langoni mwa Yanga lakini Diarra anadaka
40' Kasi ya mchezo imepungua
33' Khalid Aucho anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
27' Yanga wanaonesha utulivu na ndio wanamiliki mpira muda mwingi
25' Yanga wanafanya shambulizi kali lakini kipa wa Club Africain anaudaka
15' Yanga wanaonekana kuwa na utulivu na kupiga pasi kadhaa
10' Wenyeji wanajaribu kuongeza kasi ya mashambulizi
5' Presha ya mchezo ni kubwa, Yanga wanaonekana kuupoozesha mchezo
Mchezo umeanza
Leo ndiyo ile siku tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu huku wengine wakiisubiri kwa hofu kubwa. Mechi itakuwa saa 2 usiku kwa saa za Afrika Mashariki!
Mechi itakayoamua nani anaenda makundi CAFCC. Ikumbukwe kuwa matokeo ya mchezo wa kwanza uliisha kwa sare ya bila kufungana uwanja wa B. Mkapa-Lupaso.
Prediction: CA 3-1 Yanga
Wameumbuka vibaya sana.Wewe Mpuuziiiiiii uso wako utauweka wapi?!!!!!!