Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
hapa kunahusu mechi yenu nyinyi takataka
Mbona umesahau kuweka Yale ya zalan FC timu iliyokuja Kwa guta kutoka Sudan Uto wakajiokotea dodoView attachment 2411168
Haya ndio mafanikio ya Uto kwa hivi karibuni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]HII KALIHatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
😁😁Ukiamua kubet najua huwezi kubet hivyo
Prediction: CA 3-1 Yanga
Hatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Waarabu wanasema al habiib al habiib nasema hivi Shadeeya leo ni mwendo wa ndoige tu.Tunajua leo mtasema yoote huku mkiombea dua zenu zitimie ila Wananchi hatujali wala nini.
Kila la kheri Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.