umesema ukweli kabsa ndugu yanguHiyo ndyo desturi yetu Waaarabu,au nasema uongo ndugu zamgu?
Wameshaanza uzushi ama wameingizwa cha cityView attachment 2411073
Leo ndio ile siku tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu huku wengine wakiisubiri kwa hofu kubwa. Mechi itakuwa saa 2 usiku kwa saa za EA!
Mechi itakayoamua nani anaenda makundi CAFCC. Ikumbukwe kuwa matokeo ya mchezo wa kwanza uliisha kwa droo ya bila kufungana uwanja wa B.Mkapa-Lupaso.
Hatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Usiongee kwa sauti, watakusikia.YangA naiombea ifungwe hata goli 10.
Unaota we mdadaLazm hyo klbu ikalie kocha wao ameumwa ghafla na nabii ata taka kuhakikishakuwa nyumbani anapewa heshima yake hvyo Ni juu chini kuhakikisha kuwa Ana win win
Mwamba kafufuka[emoji23][emoji28]
YangA naiombea ifungwe hata goli 10.
Tulia acha uchawi wako... kolo's mkubwa weeePrediction: CA 3-1 Yanga
Na hiki walichokijenga kichwani kwao ni kizuri sana sababu matokeo yakija tofauti wote hatutawaona kwenye huu uzi na hapo ndo watajua hawajui.Tulia acha uchawi wako... kolo's mkubwa weee
Tunatunza hii risitiNa hiki walichokijenga kichwani kwao ni kizuri sana sababu matokeo yakija tofauti wote hatutawaona kwenye huu uzi na hapo ndo watajua hawajui.
Haitauma tukipigwa 3-0. Ligi bado inaendelea, halafu tushanyanyua sana makwapa.Msisahau leo mpo na Singida kuna draw huko leo