Ila natamani kweli mfuzu ila kuna muda wala mihogo wengine wanaboa najikuta nataka tena mfungweTulia mtani mpenzi🤣
Waarabu wa Buza 🤣🤣🤣🤣🤣 washatelezeshwa na Alizeti hawana hamu...Sioni kelele za warabu humu
Ukirudi nyuma unaukalia. Na leo mnaukalia.
Leo hata siumizi hisia zangu.Ila natamani kweli mfuzu ila kuna muda wala mihogo wengine wanaboa najikuta nataka tena mfungwe
Uto wanaweza aonga mbele maana paka Dak hii sioni kama Hawa watunisia kama wanawazidi kitu mihogo fc
Sasa hivi wanapita kimya kimya kama hawapoSubiri wafunge sasa utaona vyura watakavyokuja humu uzi utajaaa kruuuu kraaaaa kruuuuu kraaaaaaa 😀 😀
Uto wanaweza aonga mbele maana paka Dak hii sioni kama Hawa watunisia kama wanawazidi kitu mihogo fc
TupoWaarabu wa Buza 🤣🤣🤣🤣🤣 washatelezeshwa na Alizeti hawana hamu...
🐸wamemaliza maji huko TunisiaSasa hivi wanapita kimya kimya kama hawapo