Dakika 25'
CA 0-0 Yanga
Shangilia ila usiniguse
Mazambi[emoji777] Madhambi[emoji3514]Aucho anafanya mazambi
Moto wa kifuu, subiri dakika 20 mbeleYanga wangecheza hivi kwa Mkapa basi leo hii wasingekuwa na kazi kubwa
FTMoto wa kifuu, subiri dakika 20 mbele
Defensive mechanism
Dakika ya ngapi?Simba Queen tayari kapigwa bao moja huko
Wanajihami
76Dakika ya ngapi?