ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Acha ujinga heshimu mipango ya watuHawa utopolo watakua wameiba mbinu za Simba... Haiwezekani watunisia wapaki bao wakati wapo kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga heshimu mipango ya watuHawa utopolo watakua wameiba mbinu za Simba... Haiwezekani watunisia wapaki bao wakati wapo kwao
tunaupiga mpaka unamwagikaHatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Acha ujinga
Ndio hivyo ngoja tusubiri.Leo mnajipapatua,fungeni sasa ili mjihakikishie ushindi
umeona tafsiri halisi ya ball linatembea
Unaumia?Uto wamedinda
Wanayanga wanapambana huko...babu kaju anakinukisha midfieldUzi mbona mapooza?
hii kauli nimecheka sanaUto wamedinda
Mnacheza na vilaza uto hamna kituYanga kwenye kwenye michuano hii kudominate tupo vizuri issues kutupia nyavuni.
Halafu anatokea mpuuzi mmoja kisa kaona kamera Nabi hafai,Nabi hafai wakati hata kadi ya electronics hana. Mimi leo tufuzu tusifuzu ila Nabi ni bonge la kocha, hamna kazi ngumu kama kuinga timu na ikacheza mpira.
Acha masimangoSubiri wafunge sasa utaona vyura watakavyokuja humu uzi utajaaa kruuuu kraaaaa kruuuuu kraaaaaaa 😀 😀
Kuiga jambo zuri si dhambiHawa utopolo watakua wameiba mbinu za Simba... Haiwezekani watunisia wapaki bao wakati wapo kwao