Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya mdomo hufungi golMpigwee tuuu yani badala mfunge mnaleta mbwembwe hapa. Sasa kama waarabu wabovu kwanini hamuwafungi??
kwa maono yangu huwa naona dogo anacheza slow sanaYaani hapo alipoingia ki Aziz ndio alipobugi huyo profesa wa mchongo.. msije sema sikuwaambia
Ulitakaje senior coach wa Jeifu football club?Yaani hapo alipoingia ki Aziz ndio alipobugi huyo profesa wa mchongo.. msije sema sikuwaambia
tunawapa muda nao waonekane walizuia kidogo kabla ya kuwapasua rasmiMpigwee tuuu yani badala mfunge mnaleta mbwembwe hapa. Sasa kama waarabu wabovu kwanini hamuwafungi??
Mliyachomoa kutoka kwenye uwanja gani?Huwezi kuelewa.....anaingia na goli........
Haiyaaaa mi nawazooom tuuutunawapa muda nao waonekane walizuia kidogo kabla ya kuwapasua rasmi
Labda kaonekana anapoteza muda kulalaRefa kadi Kwa Diarra ya nini sasa?
Kumbe mume mtamu 🤣🤣🤣 aise wananchi wamegangamala kweli kweliWw umeshashiba mihogo yako? Mimi siachiki kijinga wewee
Watunis walitawaliwa na wafaransa. Wanazungumza kifaransaBangala anaongea na muarabu afu anacheka
Inamaana wanaelewana?
Lazima awatoe mchezoni mpate wenge kwanzaRefa kadi Kwa Diarra ya nini sasa?
Watoto wa 2000's hamuwezi kuelewa hata tukiwaelimishaMliyachomoa kutoka kwenye uwanja gani?
Yap hata mtangazaji nimemsikia hapaWatunis walitawaliwa na wafaransa. Wanazungumza kifaransa
Sanaaa best najua unajua mke alivyo mtamu..Kumbe mume mtamu 🤣🤣🤣 aise wananchi wamegangamala kweli kweli