uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
🤣🤣🤣🤣Makundi ya kombe la loser kama asemavyo aliekuwa semaji lenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Makundi ya kombe la loser kama asemavyo aliekuwa semaji lenu
Hawa wamekutanaMungu ni wa Yanga pia! Angalizo: Kumbukeni kumpa Mungu utukufu.
AmeenMungu ni wa Yanga pia! Angalizo: Kumbukeni kumpa Mungu utukufu.
Kwa hali hii wamefungwa mbona.Makolo wangefungwa leo ingekuwa raha sana
😂😂😂😳Mwarabu kala nguruwee leo
Utani wa jadi huu dada huwa hatukubali kama wao ambavyo hawakubali ukweli kwamba tumewazidi kimataifaYanga wamecheza vizuri! Wako well organized..Simba tukubali wenzetu wakifanya vzr
Ungefungwa wewe leo na ushindwe kushiriki makundi ya kombe la loserMakolo wangefungwa leo ingekuwa raha sana
Ni ushabiki tu mkuuYanga anashinda halafu Simba tunachukia!
Ushabiki sometimes hauna utofauti na upumbavu.