New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Tumepita mkuu, Mungu MkubwaHii timu mlikuwa mnaipaisha sana. Watu wa mpira tulishaigundua ni timu ya kawaida sana kupitia mchezo wao wa awali.
Ahueni heshima itarudi iwapo tutaingia makundi. Maana siyo kwa yale masimango yenu.