Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
407a28ef526f4f55844e21ca1330a4ac_313203973_839484357400371_1189440037503388714_n.jpg


Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
 
Naona baada ya ushindi wa kubebwa na mwamuzi kupitia zile kadi mbili nyekundu, sasa mambo ni shwari!

Hatusikii tena zile kelele za Jonas Mkude na Erasto Nyoni kuwa ni wazee!! Badala yake habari ya mjini kwenu kwa sasa ni Yanga dhidi ya Club Africains ya Tunisia!!

Hakika mnastahili kabisa kuitwa mbumbumbu.
 
Naona baada ya ushindi wa kubebwa na mwamuzi kupitia zile kadi mbili nyekundu, sasa mambo ni shwari!

Hatusikii tena zile kelele za Jonas Mkude na Erasto Nyoni kuwa ni wazee!! Badala yake habari ya mjini kwenu kwa sasa ni Yanga dhidi ya Club Africains ya Tunisia!!

Hakika mnastahili kabisa kuitwa mbumbumbu.
Bahasha kama bahasha
IMG-20221031-WA0000.jpg
 
Naona baada ya ushindi wa kubebwa na mwamuzi kupitia zile kadi mbili nyekundu, sasa mambo ni shwari!

Hatusikii tena zile kelele za Jonas Mkude na Erasto Nyoni kuwa ni wazee!! Badala yake habari ya mjini kwenu kwa sasa ni Yanga dhidi ya Club Africains ya Tunisia!!

Hakika mnastahili kabisa kuitwa mbumbumbu.
...
IMG-20221031-WA0022.jpg
 
Naona baada ya ushindi wa kubebwa na mwamuzi kupitia zile kadi mbili nyekundu, sasa mambo ni shwari!

Hatusikii tena zile kelele za Jonas Mkude na Erasto Nyoni kuwa ni wazee!! Badala yake habari ya mjini kwenu kwa sasa ni Yanga dhidi ya Club Africains ya Tunisia!!

Hakika mnastahili kabisa kuitwa mbumbumbu.
Elezea 'utata' wa zile kadi nyekundu.
 
Naona baada ya ushindi wa kubebwa na mwamuzi kupitia zile kadi mbili nyekundu, sasa mambo ni shwari!

Hatusikii tena zile kelele za Jonas Mkude na Erasto Nyoni kuwa ni wazee!! Badala yake habari ya mjini kwenu kwa sasa ni Yanga dhidi ya Club Africains ya Tunisia!!

Hakika mnastahili kabisa kuitwa mbumbumbu.
Sasa hivi wanasema Mgunda anatosha hawana haja ya kutafuta Kocha mwingine.
 
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usiku wa deni
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
 
Back
Top Bottom