ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unapenda sana warabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkono kwani kala mtibwa peke yake hapo kwa mkapa? hata uto walishakula mkono paleKelele? Wazitoe wapi? Baada ya kumpiga mtibwa mkono wameufyta
Unajua ili upate vibonde unapaswa kufanya nini?Tutadhibitisha mpira ni matokeo matatu!kama ambavyo tulifungwa na azam na kukubali kabisaa kuwa Mgunda ana uwezo mkubwa sema tu mpira una matokeo matatu!na pia hatukatai kuwa mpaka kufika makundi tulipangiwa vibonde sanaa
Naona baada ya ushindi wa kubebwa na mwamuzi kupitia zile kadi mbili nyekundu, sasa mambo ni shwari!
Hatusikii tena zile kelele za Jonas Mkude na Erasto Nyoni kuwa ni wazee!! Badala yake habari ya mjini kwenu kwa sasa ni Yanga dhidi ya Club Africains ya Tunisia!!
Hakika mnastahili kabisa kuitwa mbumbumbu.
hii game yanga anashinda kweupeee.View attachment 2402778
Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.
Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Na lile goli la mpole ambalo mwamuzi alidai kapombe kasukumwa uliliona?View attachment 2402802
Namba sina
Hizo ni simu Kolo wewe, umepofuka jicho moja tu unaona wenge, ungezibwa yote je?Bahasha kama bahashaView attachment 2402934
kwakwakwakwaIna maana binti utopolo fc ameshatumiwa nauli na msela ,
Na Sasa yupo kwenye bajaji anakuja gheto ?
Labda mshinde njaahii game yanga anashinda kweupeee.
Na aliyewaita MAKOLO je aliwaza karibu sana??Hakika aliewaita utopolo aliwaza mbali sana
tena kenge wanawakeKumbe ni kweli simba hua ni kusanyiko la kenge
Huo ndio Utanzania ?..🙄🙄Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un