Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Uzi wa mbumbumbu fc na wanaocomment wote mbumbumbu.
Yanga haifungwi nje ndani ni mwiko.
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Kazi unayo mwaka huu, Yanga inakaribia kuwa mabingwa sasa.
 
Yanga hii kombe ni letu tu hakuna namna Mwarabu lazima akae mbumbumbu pigeni kelele tu ila tutawafunga midomo kama Kawa!
Mayeleeeee!
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Mungu sio Abdallah
 
Back
Top Bottom