Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Utopolo jiandae vizuri waume zenu wamekuja...

Semeni wenyewe kama wawafukunyue bila kilainishi au wapake.....

vyovyote vile, tulien iwaingie yote...
Mpira sio matusi, dada kuwa mstaarabu, heshima ni kitu ch bure
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
MAKOLO WOTE NINA SWALI KWENU?zile kelele za kumkataa Mgunda bado zipo huko kwenu??
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
sheria haipingwi kuna mtu anaenda kupigwa Knock Out ya mdundiko
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Utashangaa pale muarabu atakapo pigwa mkono. Mayele anapia tatu, fei toto mbili. Makolo ndiyo mtajua hamjui
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Safari hii wanapigwa nje ndani ova
 
Naona baada ya ushindi wa kubebwa na mwamuzi kupitia zile kadi mbili nyekundu, sasa mambo ni shwari!

Hatusikii tena zile kelele za Jonas Mkude na Erasto Nyoni kuwa ni wazee!! Badala yake habari ya mjini kwenu kwa sasa ni Yanga dhidi ya Club Africains ya Tunisia!!

Hakika mnastahili kabisa kuitwa mbumbumbu.
Kama umeumizwa na ile khamsa aliopigwa nayo mtibwa basi nakukumbusha tu na wewe ulipigwa khamsa na mnyama simba
 

Attachments

  • CDF78FBA-F84F-4ACF-8D88-C264EA5A7211.jpeg
    CDF78FBA-F84F-4ACF-8D88-C264EA5A7211.jpeg
    86.2 KB · Views: 5
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Mtihani ngumu kwa Nab. Akifungwa Kuna mawili:
. Tutahitinisha kuwa Hana uwezo,
. Tutasema hawezi kubali timu ya Tunisia itolewe.
Ngoja inyeshe tuona matundu
 
Mtihani ngumu kwa Nab. Akifungwa Kuna mawili:
. Tutahitinisha kuwa Hana uwezo,
. Tutasema hawezi kubali timu ya Tunisia itolewe.
Ngoja inyeshe tuona matundu
Tutadhibitisha mpira ni matokeo matatu!kama ambavyo tulifungwa na azam na kukubali kabisaa kuwa Mgunda ana uwezo mkubwa sema tu mpira una matokeo matatu!na pia hatukatai kuwa mpaka kufika makundi tulipangiwa vibonde sanaa
 
Mkakati:Mbinu zinazotumika Tanzania na Yanga kupata ushindi zitumike mechi na club Africains.[emoji116]

1)marefaree wa mchezo wasajiliwe haraka sana laini ya tigopesa.

2)hoteli watakayofikia iwe karibu na mtaa wa Saramander ili iwe rahisi kuweka michongo sawa ya mbambamba.

hapo kazi kwisha Yanga kupewa penati ni 99%.
Yanga daima mbele wanazamishwa mwiko,,,,nyuma mwiko na katikati mwiko.
 
Hiyo klabu ya Tunisia inaitwa "CLUB AFRICAINE" kwa kifaransa naona wengi hawaielewi kabisa na ndio walichukua klabu bingwa Afrika mwaka 1991.
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Mtakaa kimyaa MAKOLO FC NYIEE
 
Mkakati:Mbinu zinazotumika Tanzania na Yanga kupata ushindi zitumike mechi na club Africains.[emoji116]

1)marefaree wa mchezo wasajiliwe haraka sana laini ya tigopesa.

2)hoteli watakayofikia iwe karibu na mtaa wa Saramander ili iwe rahisi kuweka michongo sawa ya mbambamba.

hapo kazi kwisha Yanga kupewa penati ni 99%.
Yanga daima mbele wanazamishwa mwiko,,,,nyuma mwiko na katikati mwiko.
Labda yanga wapewe penati 8 na huyo refa kwa sababu hao africaine kumpiga uto 7 ni dakika sifuri
 
Wazee wa unbeaten ya kununua hawatapata hata goli
 
Tutadhibitisha mpira ni matokeo matatu!kama ambavyo tulifungwa na azam na kukubali kabisaa kuwa Mgunda ana uwezo mkubwa sema tu mpira una matokeo matatu!na pia hatukatai kuwa mpaka kufika makundi tulipangiwa vibonde sanaa
Zalan ndo sio vibonde
 
Back
Top Bottom