Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Club African watua, Yanga Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Yanga sio mbumbumbu fc.
Screenshot_20221101-120651.jpg
 
View attachment 2402778

Mwarabu mtoa roho ametua kuizima Yanga. Hatuna budi kusema...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nasema hivyo kwa sababu CAF hakuna refa wa bahasha, hakuna timu ya bahasha. Hakuna penati ya mchongo. Hapa ukifunga kagoli kako kamoja kule Tunisia utapigwa sio chini ya 5.

Mtanisamehe tu,ila ukweli Sioni Yanga itatokea wapi
Wewe ni bingwa wa kuanzisha nyuzi za kiwaki. Uzi huu umeukimbia, ule mwingine wa Kibu Denis na Mayele nako umetoroka.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom