CNN and Coronavirus: Africa in existential threat

CNN and Coronavirus: Africa in existential threat

Nimeshindwa kuelewa kwanini wametuweka katika kundi hili! Nika google na kupata hasa wanamaanisha nini. see below:

WHO USES EXISTENTIAL THREAT?

The phrase existential threat gets used when the continued existence of something is perceived to be at stake due to some force or action.
Pascal Mayalla Ni kweli uhai wetu unaweza kuwa extinct na Corona?
Mkuu retired 'exisitential threat' kwa kiswahili ina maana gani?

Ila kuhusu corona Mungu atuepushie hili gonjwa tu, maisha yetu tunayoishi tunafaham wenyew sasa + corona ni balaa tupu kwa kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshindwa kuelewa kwanini wametuweka katika kundi hili! Nika google na kupata hasa wanamaanisha nini. see below:

WHO USES EXISTENTIAL THREAT?

The phrase existential threat gets used when the continued existence of something is perceived to be at stake due to some force or action.
Pascal Mayalla Ni kweli uhai wetu unaweza kuwa extinct na Corona?

Worst case scenario: Corona itaondoka na wengi, mimi nawe inclusive, wakiwamo adui namba moja, wale wakoloni weusi. Tanzania na utajiri wote kwa miaka nenda rudi tunaishi maisha ya KUUNGA UNGA mno. Walotufikisha hapo hawawezi kua sehemu ya SOLUTION. Kamwe! Just imagine leo hii tunaingozwa na kina DAB, yule alokua mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi et al! God forbid
 
Ina hatarisha uwepo wetu katika sayari hii ya dunia sisi waafrika. Tunaweza kusiha wote
Duuh hawa cnn wanatutafuta nin wafrika ila leo asubuh nimetazama aljazira wanasema UK kuna shortage ya medical equipment na New Yorke ICU zipo down zimelemewa, mpaka napatwa na woga

Kuhusu Afrika nafikir Mungu kaweka mkono wake tu coz endapo tungekua na maambukiz kama western countries basi mtaani kungekua na vifo vingi visivyoeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabeberu wameshaongea mara kadhaa.

Kifupi hawafurahishwi na uwepo wa bara hili. Watafanya kila wanaloona linafaa kutupoteza then watasingizia Corona.

Tujihadhari sana..

Bill G kashaongea several times.. Africans will die in billions.. They don't like our presence in this planet. Aarssholes
 
Mkuu retired 'exisitential threat' kwa kiswahili ina maana gani?

Ila kuhusu corona Mungu atuepushie hili gonjwa tu, maisha yetu tunayoishi tunafaham wenyew sasa + corona ni balaa tupu kwa kwel

Sent using Jamii Forums mobile app

Aina ya hatari kufuta uhai wa aina fulani ya binadamu au wanyama.
Kwa mfano itokee aina fulani ya swara wamebaki kama mia na wanaishi kaeneo kadogo wote kwa pamoja, halafu kundi la simba lizingire hao swara, hapo ndio tunasema aina hiyo ya swara wapo kwenye "existential threat", maana watauawa wote, ifahamike simba hawatakua wakiua tu wawafanye msosi, ila wataua kila swara atakayepatikana hai.

Mfano mwingine ni ule uvamizi wa taifa la Israel kutoka kwa mataifa ya kiarabu, wale Waarabu hawakua wanakwenda kupigana na Israeli kijeshi, nia ilikua ni kuchinja chochote na yeyote mwenye damu ya Kiyahudi kama alivyofanya Hitler. Yaani chochote chenye hatari ya kufutwa kwenye ramani ya dunia ndio huwa tunasema kipo kwenya hatari ya "existential threat".

Kwa kifupi, Corona ina uwezo wa kutufuta Afrika maana inachofanya wenye uwezo zaidi yetu, unajiuliza hivi nini tunacho cha maana hadi ikatukwepa.
Kama ni kunawa mikono, wale wananawa mpaka basi, ilhali huku bado kuna vijiji na mitaa haina hata maji. Kama ni kuepuka misongamano, wale wamejifungia ndani kabisa, Afrika bado tunasongamana kwenye madaladala na madhehebu. Yaani tahadhari kwa wale zinachukuliwa za hali ya juu ila bado wanadondoka kwa maelfu, huku sisi tupo tupo tu, lakini anakufa mmoja baada ya mwezi.
 
Worst case scenario: Corona itaondoka na wengi, mimi nawe inclusive, wakiwamo adui namba moja, wale wakoloni weusi. Tanzania na utajiri wote kwa miaka nenda rudi tunaishi maisha ya KUUNGA UNGA mno. Walotufikisha hapo hawawezi kua sehemu ya SOLUTION. Kamwe! Just imagine leo hii tunaingozwa na kina DAB, yule alokua mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi et al! God forbid
Mimi niwe mkweli, naogopa sana. Umesema kweli kabisa. Bahati nzuri nimesoma microbiology na specialty in virology. These are stubborn genetic entities. Mutation rate ni kubwa , hivyo tutegemee majanga. Afadhali wangelikuwa bacteria... ni rahisi kuwaua, siyo virus!
 
Binadamu ana mucus kwenye njia ya hewa, hii ni sehemu ya kinga ya mwili. Hewa ikiingia na uchafu unakamatwa na mucus na uchafu ule unautoa kama kohozi.

Mucus goblets zikishambuliwa na virus ndiyo mafua yanachuruzika na huweza kukohoa. Maambukizi yakitokea kwenye mucus membrane husababisha kikohozi. Ndiyo maana unatumwa kikohozi ili wataalamu wagundue ni maambukizi gani.

Covid-19 hushambulia njia ya hewa na maambukizi huleta joto mpaka centi grade 38-39. Mucus goblets zinashambuliwa kwa kasi na Hutoa makohozi. Mapafu hukosa oxygen.

Afrika maisha yetu ni ya kufanya maoezi muda wote. Si kwa kupenda ni lazima utembee kwakuwa huna nauli ya basi na Gari huna. Mapafu yanakuwa imara. Pia vyakula tunavyokula ni organic.
kwa hiyo what is your take home msg my dear?
 
Kati ya America zote,australia,ulaya,Asia na africa ni Bara lipi lenye wagonjwa wachache wa CORONA?.
na hata huku Africa utagundua ukiacha nchi za Africa kaskazini ambapo wapo karibu na ulaya na asia wanaofata kwa maambukizi ni sauzi africa..
kwa hyo wasitutishe.
Nimeshindwa kuelewa kwanini wametuweka katika kundi hili! Nika google na kupata hasa wanamaanisha nini. see below:

WHO USES EXISTENTIAL THREAT?

The phrase existential threat gets used when the continued existence of something is perceived to be at stake due to some force or action.
Pascal Mayalla Ni kweli uhai wetu unaweza kuwa extinct na Corona?

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Nimeshindwa kuelewa kwanini wametuweka katika kundi hili! Nika google na kupata hasa wanamaanisha nini. see below:

WHO USES EXISTENTIAL THREAT?

The phrase existential threat gets used when the continued existence of something is perceived to be at stake due to some force or action.
Pascal Mayalla Ni kweli uhai wetu unaweza kuwa extinct na Corona?
Naona wanasema hivyo kwa vile mfumo wa matibabu kwetu ni worse. Hivi umeona wards za mloganzila ?Yaani huko ukipelekwa upo stage ya kuhitaji ventilator andika umekufa tu. Ndo maana ikifika watu wengi wanaugua na wanahitaji ventilators. Wataachwa wafe tu,maana hazipo.
 
Kati ya America zote,australia,ulaya,Asia na africa ni Bara lipi lenye wagonjwa wachache wa CORONA?.
na hata huku Africa utagundua ukiacha nchi za Africa kaskazini ambapo wapo karibu na ulaya na asia wanaofata kwa maambukizi ni sauzi africa..
kwa hyo wasitutishe.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
tumekusikia.... kama wao na world class health care wamekamatwa hivi, ikifika kwetu per se tutafanya nini? weka kando neno wasitutishe...
 
Naona wanasema hivyo kwa vile mfumo wa matibabu kwetu ni worse. Hivi umeona wards za mloganzila ?Yaani huko ukipelekwa upo stage ya kuhitaji ventilator andika umekufa tu. Ndo maana ikifika watu wengi wanaugua na wanahitaji ventilators. Wataachwa wafe tu,maana hazipo.
sijawahi kwenda Mloganzila. Ila najua ventilator hawana na hata kama zipo, wakikuwekea akaletwa "kigogo" wanaondoa kwangu wanampa kigogo.
 
downloadfile-3.gif
 
Back
Top Bottom