CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

Nonsense. Unafahamu kwamba sera ya chama tawala nchini marekani The Republicans inakataza uzazi wa mpango? Au kwa vile Rais mweusi wa nchi ya kiafrika kasema mawazo yake kuhusu birth control ndo imekuwa "shame on your country"? Shame on you.
Achana na sera ya Marekani unajua lkn sera yetu ya taifa ni ya uzazi wa mpango ambayo rais wake anaipinga, hata kama ana mawazo tofauti ilikuwa busara kutosema mbele ya kamera.
 
Hiyo ni publicity ili nchi yetu waigoogle na wajue tuna vivutio vya utalii
Tupo kwenye raiti traki
 
Sijui kwa nini nimekumba hayati mw Nyerere alivyo muiita Idd Amin BUFFON,ikamfanya Amin akasirike sana na kumuomba Mwalimu pambano la ndondi kati yao.
 

Just being curious, how large a family does he have? This will help in categorizing him, whether "lazy or hard worker", lol.

On the other hand, I accept the fact that Tanzania has no need for population control at this point. This is one area where foreigners take on responsibility for baby sitting us as their responsibility as if we have no heads to think for ourselves.
 

Huu ni mjadala wa ajabu, maanake unaweza ukajikuta unaunga mkono pande zote za mjadala.
Sasa ngoja nikupe pendekezo. Mimi sipendi kuwa ombaomba, na sipendezwi kamwe kama nchi tuwe ombaomba kwa kila kitu tusaidiwe. Ni lazima kabisa tufike mahali tuseme, sasa basi, tujitegemee kwa yale yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Lakini angalia pesa inayoingia nchini kwa madhumuni ya mpango huo wa kupunguza kizazi, ukiwa ni msaada tunaopewa.. Je hiyo hela inaweza kupelekwa kusaidia hao watoto wa mitaani kuliko kuielekeza kwa hawa ambao hawajazaliwa?

Na kwa vile sipendezwi nchi yangu kuwa ombaomba. Je, serikali inaweza kulazimishwa ili iweke mipango ya kuhakikisha kwamba wananchi wake wanaozaa watoto wanaowataka wao watakiwe pia na kuwezeshwa inapobidi, kuwa na uwezo wa kuwahudumia wakisaidiana na serikali? Maana yangu ni kuwa pawe na sera za wazi zinazotutaka kama taifa kulisimamia hili jambo.

Complex social problems that call for solutions through national development strategies.

Tanzania ni nchi kubwa ya kutosha na inao utajiri tosha kuhimili zaidi ya watu million mia moja na zaidi. Bado tupo nusu tu hadi sasa. Ukikataa kuijaza kwa kuzaana sisi kwa sisi, tutasaidiwa kuijaza, tukitaka, tusitake na wahamiaji, haramu au halali, huo ndio ukweli wenyewe.
 
kuna vingine havitakiwi kusemwa na kiongozi wa kitaifa kama yeye, kwanza ni against national health policy,
Quinine, hivi yeye anao wangapi? Tuanzie hapo.
Kuhusu 'visivyotakiwa kusemwa na kiongozi wa kitaifa....' inanikumbusha enzi za nyuma kidogo, wakati Tanzania ilipokuwa na heshima kubwa sana kimataifa licha ya umaskini (ufukara) wake mkubwa. Ukijitambulisha kuwa wewe unatokea Tanzania, kulikuwa na heshima fulani iliyokuwa inategemewa. Sasa mkuu Quinine, usijifiche kujitambulisha ukienda huko majuu kwa sababu kiongozi wako wa kitaifa kayasema yasiyotakiwa kusemwa!

Kwa namna ya ajabu, kwa hili ninamuunga mkono. Mambo mengine hayastahili kuyalembalemba ili ueleweke unasimamia wapi.
 

Adam na Eva walizaa watoto watatu,kwenye biblia Yakobo tu ndo alikuwa na watoto wengi 12 na aliwapata kutoka kwa wake wawili sasa inamaana watu wa kale hawakuelewa Magu ndo kaelewa sana. Yeye kwanza anao wangapi
 
Kwanini uvilaumu vyombo vya habari kwa kuandika habari, kwa nini usilaumu source yenyewe ambaye ni Magufuli kama asingesema CNN wangeandika nini.

Labda kama ni kuvilaumu tuvilaumu iwapo vitaandika habari ya uongo.

Sijalaumu chombo chochote cha habari ila nimetoa mtizamo wangu.

Nadhani mtizamo wa vyombo vya habari vya nje bado haujabadilika kwa nchi za Afrika, kwamba ni nchi zilizo na mtizamo wa kurudi nyuma.

Hivyo hata kama kuna siku watajaribu kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kiongozi yoyote yule wa Afrika, huo utakuwa bado ni unafiki wao uleule.

Kwa wale wanoendelea kuvaa sanamu na kushirikiana nao, wao waendelee hivyohivyo hio ni kawaida.

Ila kama wewe ni mwafrika, ukipata kauli au hoja ambayo inafikirisha kutoka kwa kiongozi wa Afrika, basi hata kama huielewi jaribu kutafakari, tena na tena bila kukimbilia sanamu na kuivaa.
 
Achana na sera ya Marekani unajua lkn sera yetu ya taifa ni ya uzazi wa mpango ambayo rais wake anaipinga, hata kama ana mawazo tofauti ilikuwa busara kutosema mbele ya kamera.
That's right. Ilikuwa hi busara to reserve his opinions kama kingozi wa nchi. Kinacho kera ni kwa baadhi ya watu na vyombo vya habari kukodoa macho as if Rais Magufuli amezungumza the unthinkable ulimwenguni. It's okay baadhi ya wamarekani, including Trump to oppose birth control na CNN au Al-Jazeera wasione ajabu lakini Magufuli akisema the same inakuwa international news, right??
 
Watu waelimishwe kuzaa idadi ya watoto wanaoweza kuwatunza, hii shida ya kufyatua watoto na kuanza kutafuta lawama kwa ndugu kwa nini hawakusaidii kusomesha ni mambo ya kusikitisha sana. Vinginevyo tuwe na social security au mipango itakayowezesha kupunguza gharama za huduma muhimu kama afya, elimu, maji, umeme na kuboresha upatikanaji wa chakula na lishe bora kwa wote ili kupunguza utegemezi kwa watu wachache wenye kazi au biashara kuweza kusaidia ndugu zao wafyatuaji
 
Hilo la Mbeki, tusilibeze,alikuwa sahihi. Alisema "umaskini" wetu,ndo chanzo cha maambukizi mengi ya HIV. Aina na namna ya ufanyaji mapenzi , huduma za kiafya, vyote
hutegemea lifestyle na aina ya uchumi! Nitaendelea........
 


Kama walishindwa kuijaza mashababi wakina mfalme Suleiman tutaweza sie?

Balance of nature always itafuata mkondo wake.

With overpopulation lazima femine , drought and other natural disasters zitachukua mkondo wake kubalance number.

Ukiacha natural disasters, vitu kama civils wars, heightened crime havitakuwa nyuma.

Family planning sio kitu kipya. Ukiangalia tamaduni za zamani imekuwa ikiwa practiced since BC, we have just modernized with more effective methods.

Hivi walioambiwa ni lazy ni wanawake au wanaume???.
 
Rais amesema "my opinions" yeye ni nani hasa asiwe na maoni binafsi?

Mbona huwa mnasema kauli ya rais ni sheria??!.

Mbona maoni ya MTU binafsi kuhusu rais na serikali huwa yanaonekana ni kumdhalilisha rais na urais?

Mbona maoni ya wabunge kuhusu budget rais anayachukulia ni kupinga budget??.

Yeye ni top, with madaraka makubwa, litokalo kinywani mwake lina impact kubwa.

He started with fyatua thing in dar, akatetewa kwa kuwekewa maneno ambayo hajasema, this time around kakazia, amewaacha solemba watetezi wake.
 
Usikurupuke ukachangia kwa hisia alisema pale pale ni maoni yangu mimi. Hakutoa tamko sawa kijana.
 
This a shame to our nation, yoyote angesema lkn asingekua Raisi wetu, inaonyesha Raisi kwamba hana international exposure.
acha maneno yako ndg
hakuna aibu ya aina yoyote katika Taifa

Wacheni watu wazaane
 
Duh. Tukiwa na watu kama ninyi tutakuwa tucopi kila kitu kwa wazungu.. Kisa international exposure.
Yeye magufuli anayejua kulima na kufuga huku tukimlisha yeye na familia yake yote maisha yake yote ana watoto 2 (wawili tu) huku anawadanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…