Coastal Union 0-2 Yanga | Ligi Kuu Bara | Sheikh Amri Abeid

Anachofanya Morrison ni utovu wa nidhamu wa makusudi nafikiri marefa wanatakiwa kumuadhibu vikali kitendo chakupiga kona nje ya eneo linalotakiwa si sawa kabisa na amekua akifanya hivi toka akiwa Simba marefa wanatakiwa kumchukulia hatua ule ni upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…