Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa MbwaYanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale 👉👉👉👉
Uto watakupingaNaangalia mechi hapa ki ukweliiii Coastal wanacheza tuache ushabiki jamani. Msimu huu ni wa motooo mpira una kasi ya hali juu
Ngapi uko?Me tangu lini nikawa natangaza mpira mkuu?
Coastal 0-1 YangaNgapi uko?
Tulia mama[emoji1787]Aisee kuna kichwa kimeweka breach cha coastal nasikia hapa ni cha burundi duuuuuuuu ni hatari. Yanga mkienda kunywa energy kipindi cha pili mje na mikakati mipya ili mpate bao zenu mbili msimu huu hamtafunga zaidi ya mbili.
Hapa nasubilia Yanga ashinde nimlize muhindi, tayari Dodoma vs Prisons wameshatoa GG na Spurs kashindaAlishawahi nipa hasara mara 2 mfululizo
Mpenzi leo ni zamu yangu plz nipatie sapoti na mimi eee😅Msimu huu tutaona mengi aiseee
Usije ukayakana maandishi yako.Ukuta wa coastal nyuma ni imara sijaona goli nimeqnza kuangalia dkk ya kumi itakua walibahatisha yanga
Hapo ndo shida,inaanzia ngoja basi nisikoment nilijua huna bando hahahaaaMpenzi leo ni zamu yangu plz nipatie sapoti na mimi eee😅
Sitakana, nimewaambia yanga waje na mkakati mpya ili waondoke na bao zao mbiliUsije ukayakana maandishi yako.
Hata ukimuuliza atakujibu hivyo hivyo maana reaction ya Yanick nayo ilikuws red card.Yaani refa ana balance kadi??? Duuuh hiyo Kali aisee
HongeraHapa nasubilia Yanga ashinde nimlize muhindi, tayari Dodoma vs Prisons wameshatoa GG na Spurs kashinda
Baby naweza kukosa vyote lkn sio bando hilo unalijua😂😂😂Hapo ndo shida,inaanzia ngoja basi nisikoment nilijua huna bando hahahaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utajua ila umeshanielewa Kolo wizardMe tangu lini nikawa natangaza mpira mkuu?