Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Makambo aende singida watupe yule mzungu wa pemben,makambo hana tofauti na philiHuyu Makambo sio back up nzuri kwa Mayele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makambo aende singida watupe yule mzungu wa pemben,makambo hana tofauti na philiHuyu Makambo sio back up nzuri kwa Mayele
😅😂 Wee mzee nilikua nakuheshimu kumbe Kolo.... Haya jimwagilie moyo upoe kwa husda, bill imelipwa na MayeleMungu ibariki Coastal union ishinde huu mchezo kelele zipungue mitaani
Wee mbwa tena mbwa koko 😂😅😂 embu bweka basi tukusikie... Mtani bhaanaYanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale 👉👉👉👉
Tatizo mna mshobokea sanaa yani kwa vile vibao viwili kweliii? Yani mayele.akisikia Simba ndo anahaha kwa sbb huwa hana uhakika wa kufunga. Hata yy huwa analikiri hiloMashabiki wa simba wakimuona Mayelle wanapata pressure sana
Nafikiri msimu huu TFF wamedhamiria kusaidiana na marefa na makolo kuhakikisha YANGA inahujumiwa uwanjan... Ni aibu sana refa kucheza upuuzi hajui wachezaj maisha yao ni afya za miguu... Big up yule Linesman wa upande wa juu kulia amesaidia kuonyesha matukio ya faulo alizochezewa YangaWaamuzi Wa mpira ni kichefuchefu aise!
Yaaa mlioteaaa au ww hujaona? HahhSio kwamba ulisema goli la kwanza tumeotea 😂
Mbwa hujambo?Yanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
😂😅😂 Mayele kawafunga makipa wote wa simba... Mayele kaifunga magoli mengi simba... Mayele ktk mechi moja aliyowah kufunga magoli mawili ni alipokutana na simba... Mayele Mayele MayeleeeeeTatizo mna mshobokea sanaa yani kwa vile vibao viwili kweliii? Yani mayele.akisikia Simba ndo anahaha kwa sbb huwa hana uhakika wa kufunga. Hata yy huwa analikiri hilo
Kumbeee magoli mengi ni 2? Mchezaji gani wa kiwango hana hata hattrick?? Ndo maaana nasema anaoteaaa huyo bado sanaa. Nyie wanaume wenzie endeleeni kumpeti peti ili azidishe sifa badala afunge magoli. Kumbe huku kwingine anadonoa donoa?. Sasa unafurahia kuifunga simba siku mkiifunga tp mazembe au timu za misri si atakufa? Lake ni moja tuu kumbe😂😅😂 Mayele kawafunga makipa wote wa simba... Mayele kaifunga magoli mengi simba... Mayele ktk mechi moja aliyowah kufunga magoli mawili ni alipokutana na simba... Mayele Mayele Mayeleeeee
Kwani kilichotokea hukuona,au nawewe ni wale wale wa HOVYO?Malalamishi fc wakishinda wanalalamika wakifungwa wanalalamika.
Uwe unaacha umamaNaunga mkono hoja
Wewe umbwaYanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
Kazi yetu ni kutia mabao kuanzia 2 na kuendelea kwa simba na vijibwa vyake vyote.Yaaa mlioteaaa au ww hujaona? Hahh
Waamuzi wetu wapuuzi sana na wala hawana aibu kuwa mechi iko live......Kitendo cha Mtenje Jr kumaliza hii Mechi ni udhaifu mkubwa Kwa mwamuzi.
Huyu ni jibwaWewe umbwa