Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kakuruhusu nani kutufokeaMods mmelala usingizi huko studio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakuruhusu nani kutufokeaMods mmelala usingizi huko studio
Mi Kwa mtazamo wangu Azam ni timu Bora sana wala Coastal sio wabovu kiivyo maana kama unaangalia game utaona wapo vizuri ila Azam ni Bora ...Hawa Coastal huko kimataifa wanaenda kucheza nini?
Kafie mbele huko.....!!Nauliza unaleta makasiriko kama wamama wavikoba
Niliiona hii hahaha 😆Mkuu hii n Tanzania ya Vi-wonder so usishangae....
Hao coastal kuna mchezaji walimpa thank you baada ya wiki mbili wamemsajili tena na kumpa welcome [emoji16]
Wameamua ball litembee.Coastal asipobadilika tunaweza kushudia Bao tano mapema [emoji1787]
Amani kwa Mama kizimkazi.Wanachezea Mbande ama Amani, Zanzibar?
Kimataifa unakutana na timu zenye uwezo pengine kuzidi AzamMi Kwa mtazamo wangu Azam ni timu Bora sana wala Coastal sio wabovu kiivyo maana kama unaangalia game utaona wapo vizuri ila Azam ni Bora ...
Timu inapokua na kocha mmoja Kwa muda mrefu pia wachezaji walewale inakua very strong.. na hata ukiangalia usajili wa Azam n wa kimkakati sio wa kukurupuka.. Angalia pia pre season yao ilikua ipo kimalengo na ndo inaanza kuwalipa taratibu....
Round ya Kwanza atapita ila ya pili atakutana na Pyramid hapo ndo Moto utawaka ila mi namtabiria memaKimataifa unakutana na timu zenye uwezo pengine kuzidi Azam
ngoja tuuone egypt na avic town nani ataibuka kidedeaPre-seasson
Azam: MOROCO
Coastal: PEMBA.
Uwekezaji.....
Hatimaye yametimia [emoji23][emoji23][emoji23]Coastal asipobadilika tunaweza kushudia Bao tano mapema [emoji1787]