EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Ndo maana akasema baada ya kupelekewa kopo hakupiga picha badala yake alianza kutafakari mazingira aliyopelekewa zawadi na hii kutafakari ni pamoja na kutafuta ushauri na sio SYMPATHY juu ya haki yake aliyonayo kwa jina lake kutumika katika tangazo la kibiashara kama alivyoomba wanaharakati wampe msaada wa kujua haki zake katika hili suala...
Yeye anapelekewa kopo hata haulizi ni la nini? Anapokea tuu. Likimlipukiaje?
Aende zake huko. Ruge angemwekea pesa za Escrow kwenye account yake angeenda kutafuta ushauri huko Insta?
Ushauri akatafute kwa wanasheria siyo insta.