EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Tatzo unaongea tu wala hujiongezi kusoma.soma bandiko kisha rudi
utaratibu waliokuwa wakitumia walikuwa wanafuata msanii,wanamweleza kuwa wametumia jina lake,wanampatia soda ya jina lake na kumpiga picha na kuingiza mtandaoni sasa unakurupuka huko unaandika ujinga. tazama hapa chini. unadhalilika kwa kuandika ugoro hapa
![]()
![]()
![]()
Hao wasanii ni bubu?
Hawaulizi kwa nini majina yao yamewekwa kwenye makopo kabla ya kupata ridhaa yao?
Usitake kuwa mjinga kama mlalamikaji.