Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Tatizo wewe ni msahaulifu. Hukumbuki ubishi wako wa awali ulihusu nini.
Hakuna nilichosahau.
Kama kipo, kiweke hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wewe ni msahaulifu. Hukumbuki ubishi wako wa awali ulihusu nini.
Happy new year binam
Hakuna nilichosahau.
Kama kipo, kiweke hapa.
Sasa kama kujitangaza sio lazima ulipie tatizo liko wapi?
Hakuna nilichosahau.
Kama kipo, kiweke hapa.
Sasa kama kujitangaza sio lazima ulipie tatizo liko wapi?
Haya umeyaandika pengine kuashiria kwamba huenda kuna tatizo kwenye zoezi la Coka-cola, au sivyo?
2) Kama ni jina lake, nchi nzima hakuna mwingine mwenye hilo jina?
3) Ni kweli kabisa kuwa Coca-Cola iliandika tu hayo majina bila hata kuwasiliana na hao wasanii?
4) Coca-Cola wameshatoa le tamkoz lolote kuhusiana na hilo suala?
Haiwezekani mtu msahaulifu ajue kwamba hajasahau.
It is a problem if it's proven you're taking advantage and exploiting others.
Haya umeyaandika pengine kuashiria kwamba huenda kuna tatizo kwenye zoezi la Coka-cola, au sivyo?
Kama kulikuwa na undue influence, was it actual or presumed?
Regarding duress, hata economic duress haiwezi kufanikiwa?
Some may even try to argue kuwa it was unconscionable bargain, but sidhani hili suala linafika huko.
As they say buyer be aware.
Hujaonyesha popote pale ambapo nimesahau.
Umerudia tu kunukuu mabandiko yangu bila maelezo ya kivipi nimesahau kama unavyodai.
Exactly! Know you know how it is like to pick a single item to reply to and leave out the main issue that is being discussed.
I knew it.
Huwezi kunionyesha kwa sababu hakuna nilipojichanganya.
- Jamani labda shule mpya zina elimu mpya sana, I mean Cocacola wametengeneza kopo wametumia jina lako wanakupigia simu kwamba wamekutengenezea kopo, huwaambii kwamba hutaki": Cocacola wanakuomba uwaambie upo wapi wakuletee kopo lenye jina lako unawaambia ulipo na kuwasubiri wanakuja wanakupa kopo wanakuomba na picha unakubali and then wewe mwenyewe unapiga picha kopo na jina lako unaliweka Instagram na kulalamika kwamba kwa nini wametumia jina lako, jamani kama kweli this is a new education basi mimi sitaki elimu tena cause this is just out of the line!!
Le Mutuz
EMT unapaswa kutambua kwamba kuna wasanii kwa hiyari yao wenyewe walikubali kwenda kwenye hiyo hafla na kupiga mapicha baada ya kupigiwa simu kuwa eti kuna "zawadi" zao wanataka kupewa na Coke, hawa hawajalalamika zaidi ya kutoa shukrani kedekede kama le mutuz
Lakini pia wapo wasanii waliogoma kwenda baada ya kupigaiwa simu na kuambiwa eti kuna zawadi zao za mabango ya makopo ya coke YENYE MAJINA YAO na wanatakiwa waende kwenye hafla ya kukabidhiwa then wapige mapicha na kutupia istagram zao na social media za coke
Hawa ndio wanaolalamika
Tunarudi pale pale celebrity ni watu wenye ushawishi mkubwa popote duniani na hawa ndio hutumiwa na makampuni duniani kote kufanya matangazo
Ronaldo analipwa mamilioni ya usd just kwakuvaa viatu vya nike na anapewa viatu hivyo bure..... Why?
Msanii unapaswa kujitambua kwamba wewe ni brandy inayotakiwa kutemgeneza pesa kwa namna mbalimbali
Msanii yeyote anapaswa kutambua kuwaita wasanii wakubwa sehemu moja kwenye tukio la kuwapatia kitu chochote chenye nembo ya biashara na kuwataka waweke kwenye social media zao ni kutangaza biashara husika...... Sielewi mnashindwa kuelewa nini haswa katika hili
Sharecoke haijaanza tz pekee ipo inazunguka duniani na kila nchi wahusika wanapewa namna ya kuangalia jinsi watakavyofanya kupata hayo majina
Hivi kweli USA unampigia tu simu Lily wyne au 50cent au Maywhether eti njoo lmg grand tumetengeneza bango la kopo la coke lenye jina lako tuje tukukabidhi tupate na picha na utupie kwenye social media zako...... Kweli inawezekana? Bila makubaliano yoyote kabla unabandika tu 50cent?
Narudia tena Wolper hakukuta kopo limeandikwa wolper ndio akalalamika maana anajua wolper wapo wengi tu,
Coke wenyewe ndio wamempigia simu na kumwambia njoo kwenye hafla tukukabithi bango la kopo la coke lenye jina lako
Kwa msanii anayejutambua kwake yeye hii ni biashara sababu jina lake na yeye ni brand ya biashara....period
Kwanini hawakumfuata mwajuma wa mbagala wakauze naye sura mlimani city na mapich ya insta? Why wasanii wakubwa ndio wauze sura kwenye hiyo hafla ya kukabidhiwa?
Unahitaji kujua kwa undani maana ya marketing kulijua hili
Mwisho si sahihi kusema eti wanalialia kwenye social media badala ya kwenda mahkmani, si kilakitu unakwenda mahakamani jamani, hata akina Dr slaa wanadaigi kutoshiwa maisha lakini hawaendi mahakamani
Maisha ya sasa kwa wasanii social media inabeba sehemu kubwa sana na ndio hutolea madukuduku yao tofauti na zamani hadi uitishe media conference
Ni ufinyu wa kudadafua mambo kunakopelekea watu kuaminishwa eti coke "wanawaenzi" wasanii kwa kuwapatia hayo mabango ya makopo yenye majina yao wakati kumbe wenzao wanafanya marketing kubwa sana
Binafsi naweza kusema huu ni mwanzo mzuri wa wasanii kuanza kujitambua kwamba wao kama wao na majina yao ni brand
Kuwatumia wasanii kama hivyo sio vibaya isipokuwa kuwepo na makubaliano kabla hata kama itakuwa ni bila malipo na si kukurupuka na kupigiwa tu simu eti njoo mlimani city kunaHafla ya kukabidhiwa kopo lako LENYE JINA LAKO
Tambua coke wakindika juma basi juma neture hawezi kulalamika wala
Asante binam nawe piaa nimekumic Sana Sana
EMT unapaswa kutambua kwamba kuna wasanii kwa hiyari yao wenyewe walikubali kwenda kwenye hiyo hafla na kupiga mapicha baada ya kupigiwa simu kuwa eti kuna "zawadi" zao wanataka kupewa na Coke, hawa hawajalalamika zaidi ya kutoa shukrani kedekede kama le mutuz
Lakini pia wapo wasanii waliogoma kwenda baada ya kupigaiwa simu na kuambiwa eti kuna zawadi zao za mabango ya makopo ya coke YENYE MAJINA YAO na wanatakiwa waende kwenye hafla ya kukabidhiwa then wapige mapicha na kutupia istagram zao na social media za coke
Hawa ndio wanaolalamika
Tunarudi pale pale celebrity ni watu wenye ushawishi mkubwa popote duniani na hawa ndio hutumiwa na makampuni duniani kote kufanya matangazo
Ronaldo analipwa mamilioni ya usd just kwakuvaa viatu vya nike na anapewa viatu hivyo bure..... Why?
Msanii unapaswa kujitambua kwamba wewe ni brandy inayotakiwa kutemgeneza pesa kwa namna mbalimbali
Msanii yeyote anapaswa kutambua kuwaita wasanii wakubwa sehemu moja kwenye tukio la kuwapatia kitu chochote chenye nembo ya biashara na kuwataka waweke kwenye social media zao ni kutangaza biashara husika...... Sielewi mnashindwa kuelewa nini haswa katika hili
Sharecoke haijaanza tz pekee ipo inazunguka duniani na kila nchi wahusika wanapewa namna ya kuangalia jinsi watakavyofanya kupata hayo majina
Hivi kweli USA unampigia tu simu Lily wyne au 50cent au Maywhether eti njoo lmg grand tumetengeneza bango la kopo la coke lenye jina lako tuje tukukabidhi tupate na picha na utupie kwenye social media zako...... Kweli inawezekana? Bila makubaliano yoyote kabla unabandika tu 50cent?
Narudia tena Wolper hakukuta kopo limeandikwa wolper ndio akalalamika maana anajua wolper wapo wengi tu,
Coke wenyewe ndio wamempigia simu na kumwambia njoo kwenye hafla tukukabithi bango la kopo la coke lenye jina lako
Kwa msanii anayejutambua kwake yeye hii ni biashara sababu jina lake na yeye ni brand ya biashara....period
Kwanini hawakumfuata mwajuma wa mbagala wakauze naye sura mlimani city na mapich ya insta? Why wasanii wakubwa ndio wauze sura kwenye hiyo hafla ya kukabidhiwa?
Unahitaji kujua kwa undani maana ya marketing kulijua hili
Mwisho si sahihi kusema eti wanalialia kwenye social media badala ya kwenda mahkmani, si kilakitu unakwenda mahakamani jamani, hata akina Dr slaa wanadaigi kutoshiwa maisha lakini hawaendi mahakamani
Maisha ya sasa kwa wasanii social media inabeba sehemu kubwa sana na ndio hutolea madukuduku yao tofauti na zamani hadi uitishe media conference
Ni ufinyu wa kudadafua mambo kunakopelekea watu kuaminishwa eti coke "wanawaenzi" wasanii kwa kuwapatia hayo mabango ya makopo yenye majina yao wakati kumbe wenzao wanafanya marketing kubwa sana
Binafsi naweza kusema huu ni mwanzo mzuri wa wasanii kuanza kujitambua kwamba wao kama wao na majina yao ni brand
Kuwatumia wasanii kama hivyo sio vibaya isipokuwa kuwepo na makubaliano kabla hata kama itakuwa ni bila malipo na si kukurupuka na kupigiwa tu simu eti njoo mlimani city kunaHafla ya kukabidhiwa kopo lako LENYE JINA LAKO
Tambua coke wakindika juma basi juma neture hawezi kulalamika wala
Ni kwamba Cocacola waliwapa ICL kazi ya promotion, ICL wakatenengeza makopo yenye majina ya wati waliowachagua wao kuwa ndio wawe wa kwanza kupokea makopo hayo, wakaanza kupiga simu siku kama nne kabla kwamba wana kopo la Cocacola lenye jina lako na watakutafuta wakuleteee ukikubali wanakuletea na ukikataa hawakuletei
Ingawa kuna watu wanaopinga lakini Coca Cola wanawatumia hawa wasanii bila kujua.Ni vema tukajiuliza kwa nini walianza na majina ya watu maarufu na wanawapiga picha then wanapost kwenye page zao kwenye social network?!Hili ni tangazo tayari.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni hapo wamedhulumiwa na wametumika kutangaza bidhaa bila kujua.
Wawalipe tu mbona huko Ulaya na Marekani wanatoa pesa nyingi sana kuwalipa wasanii wa kule.
I knew it.
Huwezi kunionyesha kwa sababu hakuna nilipojichanganya.
Talking loud but saying nothing.
If they feel that aggrieved why haven't they sent Coca-Cola a cease and desist letter?
Why haven't they taken Coca-Cola to court and sue the heck out of them?
This is really much ado about nothing.