Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!



Kwanini unapenda kucheka Cheka hovyo? Ulishawai kuwa muhudumu wa bar?
 
Nashukuru cocochanel,
Kwa kuendelea kujibu maswali licha ya changamoto unazokumbana nazo,you are true confident and mentality mature.
Regards,
DJ sepetu.
 
Interview ya Leo ngumu,,,mjibu maswali ana Sifa zaidi kuliko uhalisia,,,maelezo mengi yamejaa kujikweza ,,,mi navojua watu walioishi maisha km aliyoeleza ,,hawanaga mbwembwe,,they are always simple and smart,,

Anyways hongera kwa kujitahidi
Anataka nayeye aonekane
 
Hazina ya Lumumba hii.

Cheki ilivyoandika upupu basi ndyo maana una mkubali bashite sababu mnaendana IQ wote jau jau
 
Si umeniuliza kama nimewahi kuugua ugonjwa wa akili au?
Sasa subiri kwanza nione hii akili yangu itanipa jibu gani.. kuwa na subira kwa sababu hii akili yangu sasa imezima haitumiki...
Sawa mkuu nipo nasubiri,lkn maswali yapo zaidi ya hilo moja...!!!
 
Mtu mwenyewe kayakimbia maswali yangu,muite basi aje ajibu...!!!

Nikimbie maswali mimi eeeeh.. ukiona hivyo fahamu kuwa nimekudisi tu.. na huwezi kunilazimisha kujibu swali nisilotaka kulijibu..
 
Umenikumbusha mbaliii...ndio yeye alikuwa anasifia sana ...anaandika maneno mengiiii
Ndio na ukitaka ugombane naye mkosoe Zar na Diamond! hahah yaani jomonii haya mambo ya kuchange ID hayajawahi kumwacha mtu salama.
 

Unakazania.. ukisoma majibu kwa DJ Sepetu hautanisumbua na kulalamika juu ta jinsia na masomo. Rudi katasome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…