Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Napenda kumshukuru Mola kwa malezi niliyopewa katika kufundishwa mengi pia ya maishani na kuaminiwa na wazazi kuwa akili tulibarikiwa wote.. ni furaha sana kwangu.
Hii kitu nataka sana niipitishe kwa wanangu na kuhakikisha wao na cousins wao nao wanakuja kuacha mengi mazuri.
Hapa mfano mmoja ni sisi kuwa na marafiki wa kifamilia na kuheshimiana nao hadi leo hii kuishi vizuri katika shida na raha.. na wengine kwenye jamii na kutokuwa na maringo yotote ukibarikiwa au lolote kuishi vizuri na watu ambao huwezi kuona tofauti yangu kwao labda ujue. Na kuwaachia ya kuweza kujimudu mwenyewe kimaisha na kutokuwa mvivu na kujiamini kuanzia kwenye masomo, kikazi, kutokuwa na tamaa, kujali kujijengea jina kikazi na kibiashara bila kupitia mikato isiyo na maana na yakukushusha.

Bila kusahau kushindana na wanaume kwenye masomo kutafuta maksi za juu.. ha ha haaaaa niliwapa umiza vichwa.. kujiamini na kutokuogopa mtu huku ukiwa na heshima pia.
cocochanel wewe ndo mzurimie ulichange ID? Na kama ni kweli je nikitu gan kilikufanya ubadili ID yako?
 
Nyie wote nawafahamu kutokea humu
Mnawivuuuuu wa kufwa mtu kwa watu tho mnajitahidi kuuficha na vijistori upupwu...

Ha ha haaaaaaaaaaa
Mnalalamika uongo kama vile mmelazimishwa kusoma niliyoandika

Eeeeeeeh eeeeeeeeh.. Cocochanel ni ligi ingine.. jipigeni vibao vya usoni mlie
Ha ha haaa
 
Napenda kumshukuru Mola kwa malezi niliyopewa katika kufundishwa mengi pia ya maishani na kuaminiwa na wazazi kuwa akili tulibarikiwa wote.. ni furaha sana kwangu.
Hii kitu nataka sana niipitishe kwa wanangu na kuhakikisha wao na cousins wao nao wanakuja kuacha mengi mazuri.
Hapa mfano mmoja ni sisi kuwa na marafiki wa kifamilia na kuheshimiana nao hadi leo hii kuishi vizuri katika shida na raha.. na wengine kwenye jamii na kutokuwa na maringo yotote ukibarikiwa au lolote kuishi vizuri na watu ambao huwezi kuona tofauti yangu kwao labda ujue. Na kuwaachia ya kuweza kujimudu mwenyewe kimaisha na kutokuwa mvivu na kujiamini kuanzia kwenye masomo, kikazi, kutokuwa na tamaa, kujali kujijengea jina kikazi na kibiashara bila kupitia mikato isiyo na maana na yakukushusha.

Bila kusahau kushindana na wanaume kwenye masomo kutafuta maksi za juu.. ha ha haaaaa niliwapa umiza vichwa.. kujiamini na kutokuogopa mtu huku ukiwa na heshima pia.
Cocochanel mimi nina maswali kadhaa...(kama yameshajibiwa utanitaarifu)

1: Umesema wewe unafanya kazi/ fani ya mambo ya teknolojia, Je ni kwa kiasi gani umefaidika na teknolojia na unajivunia nini kuhusu teknolojia..Je ulishawahi kuwaza kuvumbua jambo jipya kuhusu teknolojia mahala unapofanyia kazi au nje ya hapo??

2: Jina lako cocochanel kama sijakosea ni la yule mwanamitindo (fashion designer) wa ufaransa kipindi hicho.. Je ni role model wako?? Nini kilikuvutia hadi ukatumia jina lake kumuenzi??

3: Hapa JF hasa kwenye jukwaa la siasa huwa nakuona kule unalumbana na watu kuhusu Mh. Paul Makonda anapochafuliwa, ni kwa nini? Je una uhusiano wowote na Lumumba? kwa maana watu wanakuita Kada wa Lumumba..

4: MIPANGO YAKO KWA MIAKA MITANO IPOJE??

na swali la mwisho, hobbies na interest zako ni zipi??

Asante
 
Mimi kuna kipindi wazazi walikuwa nje ya nchi nasi kwa miaka michache. na hivyo ilikuwa ngumu sana walipotaka tusome shule za Tanzania.. nikaenda kusoma boarding school niliona kama nitashindwa kumudu na pia kwa kuishi nao mbali.. ila kwa kweli nilipokua niliwaelewa sana pamoja na kuwa na pesa za kutusomesha nje huko au nje ya ulaya n.k. hii kitu siijutii leo hii hasa baada ya kuja kusoma nchi za ulaya baadae.
Ilinifundisha mengi ya maisha na hivyo tangu sekondari hadi leo nikiwa nyumbani kwa wazazi ni kuwatembelea tu tangu warudi nchini miaka sasa.[/color=red]
Unajua ile ya kuwa independent woman[/color=green] basi hiyo najiona nimo


Lemutuz hahaha
 
Nyie wote nawafahamu kutokea humu
Mnawivuuuuu wa kufwa mtu kwa watu tho mnajitahidi kuuficha na vijistori upupwu...

Ha ha haaaaaaaaaaa
Mnalalamika uongo kama vile mmelazimishwa kusoma niliyoandika

Eeeeeeeh eeeeeeeeh.. Cocochanel ni ligi ingine.. jipigeni vibao vya usoni mlie
Ha ha haaa
daktari wako wa mirembe anasema urudi ukamalizie dawa zako

halafu wale masheikh wa tanga wamesoma albadiri sasa ndio kuweweseka kwenye kwenye hii intavyuu?
 
Cocochanel ni mwanamke niliyezaliwa Mkoa mmoja ingawa Wazazi wangu walikuwa wanaishi Mkoa mwingine.. wakaipenda tu hiyo hospitali.

Elimu ya juu vyuoni.

Nachofanya mimi ni kwenye upande wa teknolojia na management..
Mbona wewe umekuwa mtu wa kusifia kila kitu anachofanya makonda?
 
Back
Top Bottom