Code zinaanza kufunguka

Code zinaanza kufunguka

We una akili za wapi ?
Marekani kasaidia nini Tanzania ambacho unakiona?
Huoni kila alipo huyo fala nchi zinakua na machafuko ?
Maisha ya majority ya Tanzania yanaishi kwa bizaa na hudumu za China
ARV unazobugia zinatoka wapi we mama
 
We utakua huna akili sawa sawa unaongelea ARV ...unaeza jenga nchi na dawa za ukimwi ?
Afya ndio mtaji wa uchumi,mngeshaisha kenge weusi nyie,hao wavimba macho wanatoa misaada kwa kutumia USD currency kwa nini?
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina

Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Tunageuzwa wacongo na wazambia mda sio mrefu
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina


Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.

Mchina mwenyewe anawaogopa Mabeberu! Sasa huyo MAZA yenu anapata wapa carriage ya kufikiri Mchina atamsaidia, kama hajazidiwa na Ulevi wa Madaraka?
 
Samia mweupe sana kwenye masuala ya geopolitics, aendelee kutembelea shows za taarab huko Z'bar... Na kuwapiga mipasho wapinzani...
UNataka kusema kuwa mwanafunzi huyu ni mtoro kuhudhuria vipindi pale kunduchi ndc? Au waalimu wanampa notsi vipande ? Maana kila namba 1 nasikia lazima awe na darasa pale kupewa awarenes ya mambo kama haya maana huwez kuwa top na kichwa box kimejaa taarab tu
 
Nchii hii ujinga ni mwingi
Nipo na mnaijeria anatushangaa sana jinsi kodi zilivyo juu.
Alfu raia wake huwambii kuhusu mpira.

Tumetafuta dollar kuzipata imekuwa ngumu sana.

Hili Taifa viongozi na raia wake ni nyo××ko kabisa..

Tunaishi kama tupo jehanamu
Nadhani ni afadhali ya Jehanamu! Ikifikia nchi inazalisha MACHAWA badala ya WASOMI! Tanzania na North Korea letu moja.
 
Wachina sio wajinga, pesa zako unagawa Rushwa na kudidimiza Uwazi na matumizi bora then ukimbilie kwake? ..Jpm dili la mchina alikimbia.
Kwahiyo hao beberu ndio wanauwazi?
Wamesomba madini hata kabla babu yako hajazaliwa ,ndio uwazi wenyewe?
 
Kuwa na option number 2 sio kosa,hawa wazungu hawatabiriki na sidhani kama kuna awamu yoyote ile iliowahi kucheza mbali na wachina...
 
ARV unazobugia zinatoka wapi we mama
Ujerumani ndio ilikuwa inagharamia huduma za Wamama wajawazito kujifungua watoto hapa Tanzania. Lakini Jiwe kwa ulevi wa Madaraka alisababisha Wajerumani kujitoa.
Leo mwananchi maskini ndiye analazimika kulipia gharama kubwa za kujifungua mtoto kwenye hospitali za Serikali ambayo haijali wananchi wake.
 
Ujerumani ndio ilikuwa inagharamia huduma za Wamama wajawazito kujifungua watoto hapa Tanzania. Lakini Jiwe kwa ulevi wa Madaraka alisababisha Wajerumani kujitoa.
Leo mwananchi maskini ndiye analazimika kulipia gharama kubwa za kujifungua mtoto kwenye hospitali za Serikali ambayo haijali wananchi wake.
Kwaiyo ulitaka uzae mtoto harafu gharama zitolewe na ujerumani?
 
Back
Top Bottom