COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Watajichanganya sana tu.

Utajichanganya wewe unayekariri mambo ili tu useme hakuna mungu.

Umeshindwa kutofautisha kujipinga na uongo halafu unakuja kusema mungu kajipinga.

Bado nahitaji kujua tofauti ya ushahidi na uthibitisho. Maana bado ile hoja yako ya kusema kisichokuwepo hakithibitishiki hatujamalizana.
 
Utajichanganya wewe unayekariri mambo ili tu useme hakuna mungu.

Umeshindwa kutofautisha kujipinga na uongo halafu unakuja kusema mungu kajipinga.

Bado nahitaji kujua tofauti ya ushahidi na uthibitisho. Maana bado ile hoja yako ya kusema kisichokuwepo hakithibitishiki hatujamalizana.

Kujipinga na uongo nimekueleza mpaka mfano nimekutolea. Isitoshe, kama mungubwenu kajipinga au muongo, kipi ni sifa nzuri hapo?

Tofauti ya ushahidi na uthibitisho utataka vipi kuielewa na wewe hutaki kuelewa set theory?

Kimsingi umeshasema hutaki kuelewa tofauti ya ushahidi na uthibitisho, halafu hapo hapo unaandika unahitaji kujua tofauti ya uthibitisho na ushahidi.

Unaelewa unachotaka?
 
Unajuaje nimesahau?

Kwa sababu ungekuwa unakumbuka usingekuja kusema sijafafanua,mi nilijua utasema nimejibu tofauti na ndiyo maana mwishoni nikasema sijui kama umenielewa. Ila wewe umeshindwa kunielewa kabisa tofauti na nilivyofikiri,kwa sababu haukuwa unakumbuka.
 
Kwa sababu ungekuwa unakumbuka usingekuja kusema sijafafanua,mi nilijua utasema nimejibu tofauti na ndiyo maana mwishoni nikasema sijui kama umenielewa. Ila wewe umeshindwa kunielewa kabisa tofauti na nilivyofikiri,kwa sababu haukuwa unakumbuka.

Ulichofafanua kipi?

Wewe unaweza kuona umefafanua kumbe umeanguka kama mgonjwa wa kifafa.

So far naona unazuga tu.

Hujathibitisha kwamba mungu yupo. Hiki hujafanya. Bisha.

Hujaeleza imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ameumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya, wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Hujajibu maswali haya.
 
Kujipinga na uongo nimekueleza mpaka mfano nimekutolea. Isitoshe, kama mungubwenu kajipinga au muongo, kipi ni sifa nzuri hapo?

Tofauti ya ushahidi na uthibitisho utataka vipi kuielewa na wewe hutaki kuelewa set theory?

Kimsingi umeshasema hutaki kuelewa tofauti ya ushahidi na uthibitisho, halafu hapo hapo unaandika unahitaji kujua tofauti ya uthibitisho na ushahidi.

Unaelewa unachotaka?

Mwanasiasa aliyetoa ahadi lakini hakuzitekeleza,ni muongo au kajipinga?haujajibu swali hili.

Na kuhusu mungu pamoja na theory yako bado huwezi kusema kajipinga kilichofanyika ni kulazimisha mambo yawe hivyo tu.

Inamaana na wewe unatakiwa ukasome ukristo au uislamu ili kumjua mungu ndiyo uje tujadiliane hapa kama yupo au hayupo?(sijui kama unanielewa?)
 
Ulichofafanua kipi?

Wewe unaweza kuona umefafanua kumbe umeanguka kama mgonjwa wa kifafa.

So far naona unazuga tu.

Hujathibitisha kwamba mungu yupo. Hiki hujafanya. Bisha.

Hujaeleza imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ameumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya, wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Hujajibu maswali haya.

Umeshindwa kuelewa swali na hadi sasa unashindwa kuelewa ninachokueleza.

Mimi naishia hapa.
 
where does the authority of the higher logical reasoning come from Kiranga
 
Last edited by a moderator:
where does the authority of the higher logical reasoning come from Kiranga

It's ability to subject itself to scrutiny and still remain valid.

Where does the authority of your god come from?

Hujathibitisha mungu yupo.

Hujaeleza unawezaje kuuliza awali bila logic.

Hujaeleza imekuwaje mungu mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na mabaya wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Huyu mungu mbona katubania wakati angeweza kutupetesha kirahisi tu? Anatupenda kweli?

Yupo kweli?

Au ni hadithi zisizo na uhalisi tu?
 
Last edited by a moderator:
where did its ability came from ,and saying itself ,itself what? Kiranga
 
Last edited by a moderator:
ambaye anaumba ufanye tu mazuri na ambaye anaumba ufanye mabaya na mazuri kwa maana ya uhuru wote yupi anauwezo wote na upendo wote? Kiranga Eiyer
 
Last edited by a moderator:
ka ukijua huwezi mjua Mungu mpaka umjue shetani vizuri maana pia anaharibu constitency
 
where did its ability came from ,and saying itself ,itself what? Kiranga

What ability? Logic is a description of the world, not an ability.

It's reliability comes from verification and reverification.

I am answering your questions.You are not answering my questions.

Where does your god get his authority from?

Where dows he get his ability?
 
Last edited by a moderator:
ambaye anaumba ufanye tu mazuri na ambaye anaumba ufanye mabaya na mazuri kwa maana ya uhuru wote yupi anauwezo wote na upendo wote? Kiranga Eiyer

Kwanza kabisa ni uongo kusema kwamba tumeumbwa kwa uhuru wote.

Hata hatukuulizwa kama tunataka kuzaliwa au hatutaki, hatukuwa na uchaguzi. Uhuru gani huo?

Pili, leo nikitaka nisafiri nirudi mwaka jana na kutengeneza mabaya niliyofanya ili yawe tofauti siwezi kufanya hivyo, muda unaenda mbele tu, siwezi kuurudisha nyuma. Uhuru gani huo?

Tatu, mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya lakini una uhuru? Si tunaambiwa mungu hashindwi kitu, alishindwa hilo?
 
Last edited by a moderator:
Mwite Kafiri! Mtu asie amini uwepo wa Mungu huitwa Kafiri na Ukafiri wake.

Kafiri pekee aloyebaki katika ulimwengu wa leo wa elimu ni yule anayeita wengine makafiri bila hata simile.
 
Swali linatumia logic kuundwa, wewe usiyejali logic utajuaje kuuliza swali?

Mwanasiasa anayetoa ahadi halafu hazitekelezi je,ni kujipinga au ni uongo?mbona hujibu hili swali.
 
Mwanasiasa anayetoa ahadi halafu hazitekelezi je,ni kujipinga au ni uongo?mbona hujibu hili swali.

Kabla ya kujibu swali, nijikite kwenye tuhuma kwamba sijajibu hili swali.

Kutonibu maswali kiko katika himaya yako. Hii si tabia yangu. Ni tabia yako.

Hujajibu swali la kuthibitisha uwepo wa mungu. Hujajibu swali la kqa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wite kaumba ulimwengu ambao unaruhusu mabaya kuwepo wakati aloweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?

Umeuliza wapi hili swali lako la mwanasiasa nikashindwa kulijibu, naomba utoe link hapa.
 
Back
Top Bottom