COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Tatizo lenu mpo hapa kwa ajiri ya kubishana tu,sasa mie kwa kulitambua hilo najitahidi kuwatowa kwenye kubishana na kufanya tujadiliane kwa hoja za msingi ili tufike tamati ya hizi mada za kuwepo na kutokuwepo kwa Mungu. Na mie na Kiranga majadiliano yetu huwa yenye kuendelea,hayo maelezo yangu ya uliyoweka rangi nyekundu nimemkumbushia swala imani ambalo tulishawahi kujadili ila aliingia mitini. Hivyo sishashangai kwa wewe kutoelewa hapo na kuona sina hoja.


Mie naenda ngazi kwa ngazi sababu nia yangu ni kuelimishana na kufika tamati na si kuonesha nani bingwa wa ubishi.

Imani si ushahidi, much less uthibitisho.

You are in the wrong thread.
 
Mungu wako kajipinga kwa sababu tunaambiwa ana uwezo wote na upendo wote halafu kaumba ulimwengu ambao umejaa mabaya yasiyoepukika.

Ukijikita kwenye imani kimsingi unasema huwezi kumthibitisha mungu.

Na mungu wako hana tofauti na kibwengo au Santa Claus.

Kwa msingi wa kwamba vyote ni vitu vya kiaminika visivyothibitishika.

Nilijua tu kwamba tafsiri yako potofu juu ya neno imani ni tatizo. Na ndiyo maana hapo unasema nikijikita kwenye imani ni sawa na kuwa nimeshindwa kuthibitisha kuwepo kwa mungu.

Na ndiyo maana mie nimepang'ang'ania hapa sababu najua ndiyo tatizo lilipoanzia.
 
Nilijua tu kwamba tafsiri yako potofu juu ya neno imani ni tatizo. Na ndiyo maana hapo unasema nikijikita kwenye imani ni sawa na kuwa nimeshindwa kuthibitisha kuwepo kwa mungu.

Na ndiyo maana mie nimepang'ang'ania hapa sababu najua ndiyo tatizo lilipoanzia.

Imani ni nini?
 
Imani ni nini?

Nitaeleza kwa kifupi kuendana na mada yetu.

Maana ya kwanza ya imani ni mambo anayokubali mtu kuwa ni ya kweli na anayopaswa kuheshimu hasa ktk dini.

Maana ya pili tunaweza kusema ni mtazamo wa jambo fulani kwa mwelekeo wa kimoyo.
 
Nitaeleza kwa kifupi kuendana na mada yetu.

Maana ya kwanza ya imani ni mambo anayokubali mtu kuwa ni ya kweli na anayopaswa kuheshimu hasa ktk dini.

Maana ya pili tunaweza kusema ni mtazamo wa jambo fulani kwa mwelekeo wa kimoyo.

Kinachomfanya ayakubali ni nini?

Na kwa nini akubali hayo na si mengine?
 
Kwangu mimi hakuna kitu kinachonifanya nimkubali Mungu zaidi ya 'instincts' au 'hard wired animal behaviour' !
 
Kinachomfanya ayakubali ni nini?

Na kwa nini akubali hayo na si mengine?

Ni itikadi na ndiyo maana nikasema hasa ktk dini. Mfano kwn dini kuna kuamini kufufuka,roho,malaika na mambo mengine kama hayo.
 
Kwangu mimi hakuna kitu kinachonifanya nimkubali Mungu zaidi ya 'instincts' au 'hard wired animal behaviour' !

Instinct gani?

Na kwa nini hiyo instinct iwe inakufanya ukubali uwepo wa mungu na isiweze kutokana na kitu kingine chochote?
 
Ni itikadi na ndiyo maana nikasema hasa ktk dini. Mfano kwn dini kuna kuamini kufufuka,roho,malaika na mambo mengine kama hayo.

Kwa hiyo ni vitu unavyovipata by fiat?

Sasa mtu mwingine akija na kusema na yeye itikadi yake ni kwamba mungu hayupo, wewe na yeye mna tofauti gani?
 
Kwa hiyo ni vitu unavyovipata by fiat?

Sasa mtu mwingine akija na kusema na yeye itikadi yake ni kwamba mungu hayupo, wewe na yeye mna tofauti gani?

Sijaelewa ni tofauti gani unayoulizia. Ila itikadi yangu mie inakuja baada ya kuamini mungu.
 
Sijaelewa ni tofauti gani unayoulizia. Ila itikadi yangu mie inakuja baada ya kuamini mungu.

Hujaelewa nini?

Hufahamu maana ya tofauti?

Kitu gani kinakutofautisha wewe unayeamua kuamini mungu yupo na yule anayeamua kuamini mungu hayupo?

Wote mko sawa au mna tofauti?
 
Hujaelewa nini?

Hufahamu maana ya tofauti?

Kitu gani kinakutofautisha wewe unayeamua kuamini mungu yupo na yule anayeamua kuamini mungu hayupo?

Wote mko sawa au mna tofauti?

Kuna tofauti,sababu kila mtu anasababu zake za kumfanya aamini hivyo anavyoamini.
 
Naona watu mnajaribu kumtafta Mungu kwa nguvu zote, mnalazimisha reasons kubeleive kua yupo, don't look for reasons sababu kila reason lazima itakua na point of contradiction, kama unaamini then endelea kuamini dnt look for reasons imani yako itakufa, kama huamini then endelea kutokuamini, its that simple... Its easy faith kufa kuliko kuijenga for a very good reason kwamba ukwelI 7billion people dunia nzima hamna hata moja aliyemuona Mungu kwa macho akasema huyu hapa, si Mungu tu hata angels na supernatural beings zozote, hii sababu inatosha kukuchanganya akili
 
Naona watu mnajaribu kumtafta Mungu kwa nguvu zote, mnalazimisha reasons kubeleive kua yupo, don't look for reasons sababu kila reason lazima itakua na point of contradiction, kama unaamini then endelea kuamini dnt look for reasons imani yako itakufa, kama huamini then endelea kutokuamini, its that simple... Its easy faith kufa kuliko kuijenga for a very good reason kwamba ukwelI 7billion people dunia nzima hamna hata moja aliyemuona Mungu kwa macho akasema huyu hapa, si Mungu tu hata angels na supernatural beings zozote, hii sababu inatosha kukuchanganya akili

Mkuu unataka watu waamini kibubusa?


Mkuu hivi yale maonesho ya mazingaombwe ambayo tunaona kabisa mtu akikatwa kichwa je,wewe unakubali kwamba ni kweli mtu anakatwa kichwa?
 
Kama unalojibu la swali unalouliza basi tupe hilo.

Nongekuwa na jibu kukuuliza wewe kungekuwa na faida gani?

Nataka kuelewa inakuwaje mtu na akili zake aamue tu kuamini kitu kimoja badala ya kingine, na aone kwamba kimoja hicho alichoamini ndocho sawa na kingine alichoacha kuamini hakiko sawa.

Unapoamini unatumia sababu gani kuchujua imani hiyo uliyoiamini na kuacha nyingine?

Au inafuata mapokeo ya kinasaba tu, wazazi walikuwa wanaamini hivi, na wewe umelelewa hivyo hivuo, hivyo huna budinkuamini hivyo?

Is that what it is?

Ukishindwa kunieleza kinachokufanya uamini una sound kama ni mtu wa imani ya mapokeo, hata imani yako mwenyewe hujaanza kuielewa, umeikubali tu kimapokeo.
 
Nongekuwa na jibu kukuuliza wewe kungekuwa na faida gani?

Nataka kuelewa inakuwaje mtu na akili zake aamue tu kuamini kitu kimoja badala ya kingine, na aone kwamba kimoja hicho alichoamini ndocho sawa na kingine alichoacha kuamini hakiko sawa.

Unapoamini unatumia sababu gani kuchujua imani hiyo uliyoiamini na kuacha nyingine?

Au inafuata mapokeo ya kinasaba tu, wazazi walikuwa wanaamini hivi, na wewe umelelewa hivyo hivuo, hivyo huna budinkuamini hivyo?

Is that what it is?

Ukishindwa kunieleza kinachokufanya uamini una sound kama ni mtu wa imani ya mapokeo, hata imani yako mwenyewe hujaanza kuielewa, umeikubali tu kimapokeo.

Na ndiyo maana nikakwambia utupe jibu. Maana ulichokuwa unakiuliza si ambacho ulichotaka kujibiwa,nilikuwa nishakujibu swali lako pale nilipokwambia kwamba tofauti ni hizo sababu zenye kukufanya uamini hivyo unavyoamini.

Kwahiyo kwa kutumia akili zetu ndiyo tutaweza ni ipi imani sahihi.
 
Na ndiyo maana nikakwambia utupe jibu. Maana ulichokuwa unakiuliza si ambacho ulichotaka kujibiwa,nilikuwa nishakujibu swali lako pale nilipokwambia kwamba tofauti ni hizo sababu zenye kukufanya uamini hivyo unavyoamini.

Kwahiyo kwa kutumia akili zetu ndiyo tutaweza ni ipi imani sahihi.

Ambazo ni sababu gani?

Kwa mfano, ni sababu gani zinakufanya uamini kwamba mungu yupo?
 
Ambazo ni sababu gani?

Kwa mfano, ni sababu gani zinakufanya uamini kwamba mungu yupo?

Moja ya sababu inayofanya watu kuamini kuwa kuna mungu ni uwepo wa huu ulimwengu,na ukitafakari kuhusu huu ulimwengu inazidisha kuamini kuwepo kwa mungu.
 
Back
Top Bottom