warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mungu yupi unayemuamini wewe? Mungu bahari au Mungu yupi?
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninachooamini ni kwamba miongoni mwa alama za uwepo wa mungu ni akili, sasa nikiono watu hapo juu mkichallengiana inamaanisha akili, tayari one of the signs..
Pia wanadamu tumepewa ukomo wa uelewa, so hakunaga kujua yoote. There is not but one God!
Allah..
Utaki kakojoe ulale..
Laiti kama Mungu angekuwa anatoa hukumu kama binadamu, basi dunia nzima tusingekuwepo, tunamkashfu na kumkana ila bado anaendelea kukupa pumzi, bado anaendelea kukulinda na ajali, au unadhani hiyo pumzi yako anakupa baba au mama yako? Tusipende kumkufuru Mungu kiasi hiki
Mungu yupi unayemuamini wewe? Mungu bahari au Mungu yupi?
Ninachooamini ni kwamba miongoni mwa alama za uwepo wa mungu ni akili, sasa nikiono watu hapo juu mkichallengiana inamaanisha akili, tayari one of the signs..
Pia wanadamu tumepewa ukomo wa uelewa, so hakunaga kujua yoote. There is not but one God!
Allah..
Utaki kakojoe ulale..
stroke
kwa upande wangu yoote hayo HAYAJATHIBITISHA WAZI UWEPO WA MUNGU labda kdg hilo la ajali kama wasimuliavyo iliwahi tokea ajali watu wote wakafa akapona mtoto mchanga akielewa mtoni (kama ni tukio la kweli)
Kwangu mm nathibitisha uwepo wake MUNGU kama ifuatavyo;
1. mara moja moja sana may be mara 1 au hata mara 2 kwa mwaka.. hutokea kulala na kuota tukio tofauti kabisa, na mara nyingi ya kushtua/ajabu na asb yake naweza kukumbuka kdg tu na kusahau tena,, sio muda murefu HUTOKEA TUKIO HUSIKA hapo sasa ntalikumbuka ndoto yote yaweza isiwe exactly 100% kufanana lakini by 90 % lazima...
2. waweza kufanya maamuzi yasio na logic kabisa,, hun sababu ya kufanya hicho kitu na tena hata ukiuuliza watu unaowaamni/wataalam kwa ushauri watakuzuia tu, LAKINI HURIDHIKI moyo wako unakutuma kufanya tu hata kama pana hasara ya wazi wazi....
mwisho unalifanya na baada ya muda tu unakutana na matokeo yaajabu NEEMA TUPU USIOWEZA SIMULIA ILIKUWAJE MWANZO HADI MWISHO na pia hakuna anaweza amini ni hatari wanaweza kukuita mchawi au hata mwizi vyovyote vile kwa imani zao lakini HAKIKA MUNGU NI WAAJABU.
3. Unaingia mkataba aidha wa kibiashara kwa tahadhali zote na ushauri wa watu kadhaa, na wa gharama kubwa, bahati mbaya baada siku chache tu unagundua kuwa utapata hasara kubwa sn mfano shs 20 mln (hili limetokea feb hii) Inakuumiza sana kupata hasara kwa kutoelewa ya kesho. kwa sisi tunaojali kauri hata kama hujamlipa huwezi KUMRUSHA NI ZURUMA,,
Linalo baki ni wewe kulia na mungu wako na maumivu usiku hulali, cha AJABU jamani MUNGU ni mwema yule yule anayekudai anghaili na kuvunja yeye mkataba akitegemea mashali zaidi kuliko yako uliokuwa unamlipa(wakati huo na yeye hana uhakika) Kwang mm nauona huo ni UWEPO WA MUNGU..
4. Mwisho ni watu wengi sana hupata ISHARA mbalimbali kuwajulisha matukio kama KILIO cha ndugu wa karibu kabla HAJAPATA TAARIFA RASMI, Au MAFANIKIO MAKUBWA lkn akipata ishara fulani tu haichukui muda yaweza chukua hata wiki hadi kupata taarifa rasmi ya tukio husika....
Huoni kwamba hilo linaonesha mungu hayupo?
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wite na upendo wote anaruhusu watu wasio na hatia wapatwe na mabaya kwa mafungu walati majambazi wanadunda tu?
Huoni kwamba hilo linaonesha mungu hayupo?
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wite na upendo wote anaruhusu watu wasio na hatia wapatwe na mabaya kwa mafungu walati majambazi wanadunda tu?
Wapi nimesema namuamini mungu?
Unaanzaje kuniuliza mungu yupi namuamini wakati sijakwambia kwamba namuamini mungu yeyote?
Mungu anaruhusu yote hayo ili tumjue yeye ni nani na ana uwezo.gani? , binadamu tunanuka dhambi, na ndio maana kila siku vifo vya ajabu vinatokea, magonjwa ya ajabu yanazuka kila siku, ila binadamu tumekuwa wagumu, kama tungeamua kumtegemea yeye na kumwabudu yeye sidhani kama haya yote yangetokea
Haya majibu rahisi sana kwa maswali magumu!.Tetemeko la ardhi,volcano naTsunami vinahusiana nini na maovu ya mwanadamu?.Kumjua mungu maana yake nini?,Alishindwa nini kutufanya tumjue automatically?.Ikiwa aliweza kutupa uwezo wa kuvuta hewa automatic alishindwa nini kuzifanya minds zetu zimjue automatically?,kwa nini nimsome mungu darasani?kuna haja gani ya kumjifunza juu ya muumba wangu?.
Huu ni udhaifu mkubwa wa huyo mungu(kama yupo) .Mungu anayepata hasira,mungu anayepata huzuni,mungu anayepata jazba?,huyo ni mungu ?,
God is man made!,HAKUNA MUNGU ....... Changanuka kijana ...karibu katika Ulimwengu huru....
Haya majibu rahisi sana kwa maswali magumu!.Tetemeko la ardhi,volcano naTsunami vinahusiana nini na maovu ya mwanadamu?.Kumjua mungu maana yake nini?,Alishindwa nini kutufanya tumjue automatically?.Ikiwa aliweza kutupa uwezo wa kuvuta hewa automatic alishindwa nini kuzifanya minds zetu zimjue automatically?,kwa nini nimsome mungu darasani?kuna haja gani ya kumjifunza juu ya muumba wangu?.
Huu ni udhaifu mkubwa wa huyo mungu(kama yupo) .Mungu anayepata hasira,mungu anayepata huzuni,mungu anayepata jazba?,huyo ni mungu ?,
God is man made!,HAKUNA MUNGU ....... Changanuka kijana ...karibu katika Ulimwengu huru....
Mungu anaruhusu yote hayo ili tumjue yeye ni nani na ana uwezo.gani? , binadamu tunanuka dhambi, na ndio maana kila siku vifo vya ajabu vinatokea, magonjwa ya ajabu yanazuka kila siku, ila binadamu tumekuwa wagumu, kama tungeamua kumtegemea yeye na kumwabudu yeye sidhani kama haya yote yangetokea
Umeshawahi kujiuliza kwa nini watu wanakufa kila siku tena vifo vya ajabu ila wewe bado uko hai? Kuna watu wapo mahospitalini wanaugua hawajiwezi, je unadhani wewe ni msafi au mtakatifu kuliko wao? Mungu anataka ujifunze kitu kupitia hayo yote yanayotokea duniani ili baadae usije kumlaumu kuwa Mungu ana upendeleo wakati alikupa nafasi ya kumuabudu ukaufanya moyo wako mgumu, lazima tujifunze kumuamini Mungu
Tatizo lako unajadiri kitu ambacho hata haujui sifa zake.
Pengine unaona Mungu hayupo kwa kuwa labda unaishi maisha mazuri, unafanya unachokitaka ,unajiona wewe una mamlaka kuliko kitu chochote apa duniani, mimi nilikuwa mkaidi kuliko wewe, nilimpinga Mungu kuliko wewe, ila wakati wako ukifika utalia na kusaga meno, muache shetani afanye kazi yake ili baadae Mungu ajidhihirishe kuwa yupo